...Ni mambo ya aibu kwa aliyemteua.
Bado kuna njia nyingi za kushughulikia watu wa namna hiyo ( kama wapo) na hapa hapakuwa mahali sahii kuzungumza mambo kama hayo.
... I see kweli bado tuna safari ndefu, unabadili jina bila kubadili vipengele muhimu vinavyolalamikiwa na wadau, hapa unamdanganya nani?
Hii ni kujidanganya tu, may be time will tell.
NHIF imekuwa bima ya Kisiasa sana, yaani hujuma, ubinafsi, ufisadi yote yapo kwenye mfuko huu. Kama ilivyo mifuko ya hifadhi ya jamii. Hapa tunajua mchawi ni nani.
Sasa huyo mtumishi wa Mungu ( Mchungaji) Anawafundisha nini wafuasi wake juu ya msamaha?
Maana hapa alitakiwa awaweke sawa mke na mme na maisha ya wanandoa hawa yaendelee vyema.
Sasa yeye analeta mambo ya polisi, kweli aendelee kuaminika kama mtumishi wa Mungu?
Walimu waboreshewe maslahi, maana ari yao ya kufanyakazi iko chini sana. Wafanya maamuzi wanajilimbikizia posho, motisha na marupupu kibao, lakini mwalimu anaendelea kusota.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.