Search results

  1. dr_verified

    Kwanini mabaunsa wengi ndiyo wamekuwa mashoga?

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] waarabu wa Pemba hujuana kwa vilemba
  2. dr_verified

    Tafuta mwanamke uoe, haya ndio maumbile tuliyoumbiwa

    Mi nikioa tutachomana visu huko ndani, nilishanusulika kuchomwa kisu na mwanamke ndani nyie acheni kabisa, bila majirani kuvunja mlango sikuio kungekua na maiti moja wapo na mwingine kuozea jela
  3. dr_verified

    Kiwanja gani kinabamba hapa Babati?

    Jaman [emoji1787][emoji23]
  4. dr_verified

    GPA 2.9 unaweza endelea degree?

    Dah mwanangu bigingo watu wa hivyo Sana nabizo comment zao badala watoe ushahuri wanaponda kheee Sent using Jamii Forums mobile app
  5. dr_verified

    Mishahara ya Geita Gold Mine Limited (GGML)

    Hapa nimekupata vizur kabisa boss, nakuja PM unieleze vuzur Sent using Jamii Forums mobile app
  6. dr_verified

    Mishahara ya Geita Gold Mine Limited (GGML)

    Chanjo ya covid 19 Ni bure hailipiwi Sent using Jamii Forums mobile app
  7. dr_verified

    Mishahara ya Geita Gold Mine Limited (GGML)

    Aiseee [emoji1] tumesota Sana mtaani since Ni graduate mwaka wa pili huu nakula msoto napigwa na jua na kupauka juu Kama mchimba chumvi Sent using Jamii Forums mobile app
  8. dr_verified

    Mishahara ya Geita Gold Mine Limited (GGML)

    Nimeuliza pay scale ikoje sijataja range ianzie sh. Ngapi kwenye maelezo yangu kwa position hiyona hakuna sehem niloeleza expectation zangu za mshahara uanzie sh. Ngapi[emoji23] Ila the issue kumekua na story nyingi kuhusu salary scale ya huko Sent using Jamii Forums mobile app
  9. dr_verified

    Mishahara ya Geita Gold Mine Limited (GGML)

    [emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787] Sasa ndo hatujui io asali ikoje tusije enda tukateseka bure Sent using Jamii Forums mobile app
  10. dr_verified

    Mishahara ya Geita Gold Mine Limited (GGML)

    Obvious lasivyo upigwe vijembe [emoji23] Sent using Jamii Forums mobile app
  11. dr_verified

    Mishahara ya Geita Gold Mine Limited (GGML)

    Iko Tayari kitambo Sana boss Sent using Jamii Forums mobile app
  12. dr_verified

    Mishahara ya Geita Gold Mine Limited (GGML)

    Ngoja nikufate PM Sent using Jamii Forums mobile app
  13. dr_verified

    Mishahara ya Geita Gold Mine Limited (GGML)

    Ishaisha io Ni guaranteed ndo maana nkauliza tu kutaka kujua Sent using Jamii Forums mobile app
  14. dr_verified

    Mishahara ya Geita Gold Mine Limited (GGML)

    [emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23] dah hao so wale ma expert na ma senior je sisi tunaoanza tunaangukia kundi gan? As Clerk 1- Warehouse? Sent using Jamii Forums mobile app
  15. dr_verified

    Mishahara ya Geita Gold Mine Limited (GGML)

    Ndio nimeitwa Ila io industry ya akina GGM siijui flesh kuhusu mishahara yao, zaidi ya kuskia vijiweni tu kila mtu Ana lake, position yenyewe niloitiwa Ni Clerk 1- Warehouse ndo sijui malipo yake hua yakoje Sent using Jamii Forums mobile app
  16. dr_verified

    Mishahara ya Geita Gold Mine Limited (GGML)

    Kuna mtu amewahi nambia usitafute kazi mgodini kwamba kazi za mgodini "zinadumaza" hii kauli sikuielewa kabisa Nini maana yake. [emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787] Huenda ndo hiivya lumola Sent using Jamii Forums mobile app
  17. dr_verified

    Mishahara ya Geita Gold Mine Limited (GGML)

    Naskia hata mtu wa chini nae sio haba kwenye malipo atleast Wana scale nzuri ukitoa wenye ma vyeo makubwa Sent using Jamii Forums mobile app
  18. dr_verified

    Mishahara ya Geita Gold Mine Limited (GGML)

    Wana JF Kuna mtu anafaham kuhusu swala la mishahara ya watanzania wanaofanya kazi GGM? JE Ni kweli mishahara yao Ni mikubwa Kama tunavyoskia au ndo propaganda za vijiweni? Sent using Jamii Forums mobile app
  19. dr_verified

    Madanguro yaliyoboreshwa: Biashara inayokua kwa kasi

    Utachagua mwenyewe [emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787] Sent using Jamii Forums mobile app
  20. dr_verified

    Rais Samia apandishwa Basi huko London kwenye Msiba wa Malkia Elizabeth II

    Wale wadada wawili, Yule mwanajeshi anae bebaga mkoba wa mama wakobwapi jamani mbona wamewahujumu Sana aisee
Back
Top Bottom