Ndugu yangu hayo ni yakawaida cha msingi kua na msimamo mmoja. Kisha tafuta unaempenda nae akupende asiekupenda achana nae. Ukishaoa utulie na mke wako. Huo ndio ushauri wangu
MSAADA JAMANI: Nina imani watu tunapendana na lengo la kuishi ni kwamba mwisho wa siku tufike mbinguni. MADA: Nina mchumba ambae tumedumu kwa mda mrefu na tumeazimia kuoana. Yeye ni roma mimi msabato yeye hataki kubadili dini. Je mimi nifanye nini?
Jmn najua humu kuna madokta naomben msaada wa kufahamishwa madhara yanayoweza kumpata mwanaume endapo atakaa mda mrefu bila ku do
kama hayapo je kuna faida?
Ni zip?
NAWASILISHA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.