kulipa kodi watu hawakatai kichogomba ni wapi kodi inakatwa. Tra wanataka kuchukua kodi ya%20 kwenye mauzo yako ambayo wewe mwenye duka umeuza kwa siku,ambapo unakuta faida yako nindogo sana haifiki hata %20
kumbe viongozi walimaliza kazi siku nyingi .nyie ccm mtachoka kutoa sumu sanaa nahuku kwetu tunasubiri ile kapuni ya mama wa nchi hii aje aanze kuchimba zahabu tumuoneshe kazi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.