Waliokufa siku Zao za Kifo zilishafika ndio maana wamekufa…. Kwa hiyo ili uwamini Mungu yupo ulitaka watu wasife!?
Hili tetemeko ni ushaidi mwingine kuwa Mungu yupo anaweza kufanya chochote wakati wowote na mahala popote
Mrudie Mungu Kiranga …hujachelewa
Habari Ndugu zangu? Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Nianze kwa nukuu ifutayo.
"HAKI HAIPASWI TU KUTENDEKA BALI YAPASWA KUONEKANA IMETENDEKA"
Kwa sasa wengi wetu tumejawa na tashwishi,
Hatujui iliyo ya HAKI Wala iliyo ya HALAM
Nafsi zetu zimeinama, tukiponzwa na...
Wewe ndio unafanya propaganda
Unajua turn out ya Mashabiki itakuwa ndogo...hivyo ameajiaanda ikitokea hivyo Ili useme kuna watu walikuwa wanafanya kampeni dhidi ya viongozi
Sent from my TECNO KD7h using JamiiForums mobile app
Habari wadau,
Nahitaji kuku wa nyama tani 2.5. Hata kama una kuku ambao bado hawajawa processed ila wanaweza kutoa tani hizo tajwa hapo Juu Basii njoo tuifanye biashara
Serious seller Dm me your contact tuifanye biashara.
Ahsante.
Tatizo halikuwa katiba Bali ni usimamizi wake, kama hatuwezi kuilinda na kuisimamia katiba iliyopo...hiyo katiba mpya itakuwa na maajabu gani?
Mnataka kusema hiyo katiba mpya itakuwa na Uwezo wa kujisimamia yenuewe..
Sent from my TECNO KD7h using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.