kwa ilani hii ni rahisi kuwapima kama watashindwa kutekeleza sio bla blaa za jana eti watajenga viwanda...vingapi, wapi, lini? tutaendelea kukagua migodi...kwani sasa hamfanyi na imetusaidia nini kama taifa? CCM TUPA KULEEEEEEEEEE
hao hawana hata uwezo wa kuhoji kwanini hawatibiwi bure wakati CCM iliahidi kufanya hivyo, mwalimu wa chekechea kwao n kama rais...kwa kifupi hawajui haki zao hata moja zaidi ya kuvaa hizo khanga, vilemba na t-shirt. Kweli CCM hawana huruma, wanawatesa hadi hawa wazee kwa kuwahonga chumvi!!!
Ee...
Nawezakubali kwamba zzk ana wafuasi wengi sana nchini, waislam na wakrito, kwanini anang'ang'ania chadrma cha kidini na kikabila??? Nakushauri kaka yangu zitto anzisha tu chama hujachelewa kuliko kujidhalilisha na kubishana bila muafaka.
itv company ambayo ni itv, radio one, capital tv &radio, eatv na radio
the guardian limited i.e the guardian news paper, nipashe nk
bonite bottlers inayozalisha soda, maji ya kilimanjaro
anamiliki hisa nyingi sana sehemu mbalimbali mfano CRDB anahisa nyingi kiasi kwamba nae n mmoja wa wanaounda...
Tina mimi nimekuelewa, hakika bandarini hakujatulia kwa sababu mwanzoni Mwakyembe alipoulizwa kwamba bodi inataka kumng'oa KIPANDE alikataa akasema bandari ni shwari na kinachoenezwa ni umbeya wa mitandao...wiki moja baadae amevunja bodi (ametimua wajumbe wanne). Kwa hiyo ninachokiona hapa ni...
NW Lazaro Samwel Nyalandu amesema UJANGILI unahusisha watu wazito wakiwamo wabunge, maofisa wakubwa wa utumishi wa umma na maofisa/askari uhifadhi...amesema dawa yao inachemka!! tusubiri filamu hii mpya
Jana polisi na baadhi ya maofisa wa manispaa ya Temeke walikamata shehena ya sukari nyeupe (industrial white sugar), ambayo hutumika kutengeneza ARV. Sukari hiyo imekwisha muda wake wa matumizi tangu mwaka jana lakini ilikuwa inatoka kwenye warehouse inayomilikiwa na RAMADHANI/ZARINA MADABIDA...
Taarifa kutoka Zanzibar zinaeleza kwamba Polisi wamezima mkutano wa Jumuiya ya Uamsho kwa kuwapiga mabomu wafuasi wa jumuiya hiyo eneo la Mahonda visiwani Zanzibar waliokuwa wakielekea Dole kwenye mihadhara ya mikutano ya uamsho iliyokuwa ifanyike kwenye msikiti mmoja huko Dole.
Taarifa...
Nimesikitishwa na taarifa za kusimamishwa kwa askari na wakurugenzi wa idara ya wanyamapori kwa sababu ya kuuawa kwa faru serengeti. Kilichonisikitisha ni kwamba alitekuwa Mratibu wa Mradi wa Faru, Nyamakumbati Mafuru alihamishwa kati ya Januari na Februari akitokea KINAPA. katika habari...
SABODO ametoa pia visima 10 kwa ARUMERU MASH, baiskeli 100 za walemavu kwa wabunge wa CDM ili wazigawe kwenye majimbo yao na ameahidi kutoa eneo+jengo la CENTURY CINEMA lililopo Mwenge (ITV) liwe makao makuu ya CDM.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.