Billionaires club kitambo sana tulienda kuangalia kwa jirani yetu part two yule maza house akatunawisha miguu kwanza kabla ya kuingia ili tusichafue nyumba...!
Mama kapokea nchi hata mshahara mlikuwa hamjui unaongezeka mwaka gani Kawaongeza lakini pia kuna changamoto ya vita ya Russia,corona,mazoezi muhimu kitaifa kama Sensa,na makazi yote yanatumia pesa lakini Ka Jitahidi kuongeza hata hicho kidogo.
Moja kati ya mawazo yanayotufanya waafrika Tuludi nyuma ni kuamini ili maisha yaendeleee ni lazima uwe serikaliiii..
Mie huwa naona serikalini ni kupoteza muda na kusubili kifo tyu hakuna maisha huko
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.