Search results

  1. Nandiaye

    Makonda apandikiza waigizaji" kwenye madawati yake ya msaada wa kisheria ili kumpa kiki.

    Chuki zako kwa makonda hazitasaidia chochote
  2. Nandiaye

    Mke wangu analalamika simridhishi, nataka nisimuoe

    Umeshasema mkewako alafu unasema unataka usimuoe?how
  3. Nandiaye

    Ushauri kuhusu mabinti wawili nilio nao kwenye mahusiano

    Nilikuwa na situation kama hiyo,wakwanza mtoto mdogo Hana elimu kubwa.wapili tumegraduate pamoja na baada ya kumaliza tu akapata kazi bank na kwako yupo njema tu, Ila nilichagua furaha zaidi nikaoa wakwanza ambaye Hana kitu naenjoy now na amenizalia mapacha
  4. Nandiaye

    DOKEZO Barabara ya Kijiji cha Mipeko, Mkuranga ni mbovu sana. Viongozi wetu mko wapi?

    Poleni Sana,Tunafanyia Kazi madai yenu endeleeni kutuvumilia
  5. Nandiaye

    UN yasema Walinda Amani wote wataondoka DRC mwishoni mwa 2024

    Ongea na Putin akuletee Wagner group waasi wakione Cha moto Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
  6. Nandiaye

    Israel wana mizinga yenye uwezo wa kuifuta Gaza kwa dakika mbili tu

    Kawadanganye watoto wenzako Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
  7. Nandiaye

    Madeleka kufungua kesi ili ukweli ujulikane kama waliouawa Vingunguti ni panya road

    Mnaanza kutetea ujinga pumbavu,panya road hastahili kuishi
  8. Nandiaye

    Nimfanyaje huyu?

    Unataka kuoa mpenzi wa mtu alafu bdae utuletee lawama humu ndani?
  9. Nandiaye

    Hali ya barabara kwa wakazi wa Mwanagati inasikitisha

    Barabara ya mbande msongola ndo haifai kabisa yaani mpaka unajiuliza kama hii nchi Ina wawakilishi
  10. Nandiaye

    Kwanini TRA wameficha majina ya waajiriwa wapya? Kuna siri gani? Huu ni utaratibu mpya wa Utumishi wa Umma?

    Hizi sio taratibu,hapo wameficha majina ya watoto zao na ndugu zao.haiwezekani Ata hizo email za walioitwa kazini haikutaja jina imesema tu dear applicant.kwann email za kuitwa kwenye usaili ziwe na majina na kuitwa kazini zisiwe na majina?hiyo ni kuficha hili watu wasianze kucompare pdf la...
  11. Nandiaye

    Kwanini TRA wameficha majina ya waajiriwa wapya? Kuna siri gani? Huu ni utaratibu mpya wa Utumishi wa Umma?

    Wengi waliitwa kazini hawakufanya usaili na ndomana Ata email za kuitwa kazini hazikuwekwa majini wametumia dear applicant tu wakati email za kuitwa kwenye interview Zina majina
  12. Nandiaye

    Natamani kila mpangaji angekuwa kama nilivyokuwa mimi

    Mimi kipindi nmepanga mwenye nyumba mpaka alikuwa ananipa miezi ya miwili ya ofa,nilikuwa Nampa Kodi ya mwaka mzima na tunaishi as a family
  13. Nandiaye

    Tangazo la kuitwa kwenye usaili TRA

    Vipi jaman mbona matokeo kimya au watu wameshaitwa kazini ?
  14. Nandiaye

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Watu walishaendaga na wanakaribia kumaliza eti mtuu unamwambia anaona kama unadanganya.Aya aendelee kusubiria
  15. Nandiaye

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Kama napotosha ngoja uone
Back
Top Bottom