kama upo facebook,bas nenda kwenye accnt yako ya facebook katika sehem ya setting kisha mobile utakuta sehem inaitwa text messages chakufanya activate watakuletea uchague nchi yako kisha mtandao wako alaf ukishachagua itakuja sehem ya kujaza codes na jins ya kupata hzo codes ni kwamba unaenda...
Hivi wataalam wa kiswahili wapo wapi?ama vyombo husika vina lipi la kusema katika hili?maana toka kiswahili kimesanifishwa kwa mara ya kwanza na waingereza mwaka 1930 tumeona kuna ukosefu kwa baadhi ya maneno ambayo yanavotamkwa ni tofaut na kuandikwa na yote hiyo imetokana na lugha hii ya...
hahaha jaman thanx kwa fdback zenyu 2endelee kupeana maujanja kama haya me i lyk dat much.so hicho ndo nchokigundua na nategemea mungu anipe mengne na awape nanyi 2peane sote.hehehe sema kwel tigo wakigundua watachange vigezo na mashart bt am sure kuna trick nyingne 2tawatrap tu
Yap yap!hapa hakuna bure bali husaidia kupunguza gharama kwa wale 2naopenda kuchat sms,well then mpango ni hivi.wote 2nafaham dat tigo unapo2ma sms 10 wanakupa sms 200 bure,2kizingatia kuwa kwa bei ya kawaida ya sms ni tsh 49 kama sikosei.sasa hapa ili kupunguza cost ni hivi 2naweza pata hizo...
Hello buddies nw ts almost tym 4 da newest hiphop company under rec lable of plan b n clickerz support 2 run n consolidate hiphop in tz.get ready ma pple,we nd ya support on dis shiit.note:stil under construction
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.