Na hili la Maria lina wasumbua wengi sana sio wasabato tu lakini ukweli utabaki pale pale manabii walitabiri kuzaliwa kwa Yesu na jinsi ya kuzaliwa kwake wasome kitabu cha Kula watajua vizuri
Ndio maana wasabato wengi ndoa zao zinamigogoro haya mambo ya kumwita mama wa mwenzio ni bahasha tu ni utovu wa nidhamu. Hivyo mama wakwe na baba mkwe tumwite bahasha? Yesu kristo atabaki kua ni mwana wa Maria milele
Mungu alifanya kazi siku sita. Na siku ya saba akastarehe. Sisi tunataka starehe tu. Hebu fikiria katika siku sita za kazi Mungu alizotumia alipata masaibu gani? Alipitia changamoto nyingi na alifikiri sana sasa sisi hatutaki hivyo tunataka Muujiza tu. Ule muujiza wa Lazaro ulikua una process...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.