Mkuu wa mkoa Said Mwambungu ameitisha mkutano na vijana wa boda boda Songea na kuupasua ukweli kuwa bomu lililojeruhi askari wawili wiki hii lilirushwa na mtu aliyekuwa amepanda piki piki.
Baada ya Mwambungu kusema hayo mjadala wote uligeukia kumjadili kijana wa boda boda kupigwa risasi na...
Jeshi la polisi la sasa limeendelea kujionyesha kuwa linaendesha mambo yake kwa kuibeba CCM. Taarifa ya ndani ya jeshi la polisi zinaonyesha kwamba Mikutano inayofanyika mkoa wa pwani, mingine inafanyika bila taarifa ya mikutano kwenda polisi na mingine inafanyika baada ya barua kupelekwa siku...
Leo tarehe 2/9/2014 imetimia miaka miwili tangu mwandishi wa habari wa Channel ten Ndugu Mwangosi alipouawa kinyama na jeshi la polisi mkoani Iringa tarehe 2/9/2012, na baadaye kuzikwa wilayani Rungwe mkoani Mbeya.
Mwangosi aliuawa na polisi akitafuta habari kwenye mikutano midogo midogo ya...
Kipindi cha dakika 45 - ITV kimekuwa ni kipindi muhimu sana kwa sasa kwa viongozi wa serikali kufafanua mambo na kupiga propaganda za kisiasa.. Wapo viongozi ambao wamejitokeza mara nyingi katika vipindi hivi (Sijui ni kwa kualikwa au kuomba jukwaa la kusemea jambo). Baadhi ya viongozi ambao...
Fredrick Mwakisambwe ni nani? Fredrick Mwakisambwe ni mwalimu kitaaluma asiye na ajira ya ualimu mahali popote hapa nchini. Ni rafiki mkubwa wa MTELA MWAMPAMBA, na Mnyiha - JULIANA SHONZA (ukiweza tembelea facebook ujue uhusiano wa Fredrick Mwakisambwe na hao watu wawili katika picha;
Fredrick...
YONA PATRICK anayejitambulisha kuwa Mwenyekiti wa Chadema Wilaya ya Temeke ndiye mwenyekiti mtarajiwa ACT mkoa wa Dar es Salaam!...
Baada ya kupuuzwa na matamko yake na mbinu dhaifu za kigaidi (kujimwagia damu ya kuku na kusingizia kapigwa) sasa anajipanga kugombea ubunge kupitia CCM au ACT -...
Wakuu nimezunguka karibu nusu ya Tanzania ndani ya miezi hii miwili kwa shughuli zangu sijafanikiwa kuona ofisi ya ACT zaidi ya ile iliyopo kigoma (ambako wengine wanaamini ndiyo makao makuu).. Chama hiki kina gari moja tu, nalo liko kigoma.
Kina wafuasi wengi mtandaoni ambao pia...
Baada ya kukutana na post ya Ninaweza akiwajibu wafuasi wa ACT ambao pia ni wanachama wa CCM, kuhusu mpango wa kumfukuza aliyekuwa mgombea wa CHADEMA jimbo la IGUNGA huko TABORA... Nimeamua kuwasiliana na mwalimu huyo na baadhi ya viongozi wa CHADEMA kuhusu suala hilo.. Mwl. Kashindye amenijibu...
Nawaza tu!...
Endapo tutavunja huu muungano:
1. watanganyika tutapoteza siku tatu za mapunziko
(i) Siku ya Mapinduzi ya Zanzibar - 12/jan
(ii) Karume Day 7/april na
(iii) Siku ya muungano ni 26/4
2. na Zanzibar watapoteza siku tatu za kupumzika
(i) Siku ya Muungano
(ii)...
Hatimaye filimbi imepulizwa... Tume ya taifa ya uchaguzi imetangaza kuwa vyama vya siasa vianze mchakato wa maandalizi ya uchaguzi huo. Kata 23 katika wilaya/halmashauri 19 kushindaniwa: Mchakato wa ndani ya vyama umeishaanza; kuchukua form za uteuzi wa wagombea kuanzia tarehe 2 january hadi...
Kubali usikubali kuna watu wazima, tenawasomi wanatumiwa kuhujumu vyama.. Wengine wanatambua wanachokifanya na wengine wanatumika bila kujua.
Hawajui lengo la "UASI WAO" ila wamebeba agenda "mbadala" zinazoficha agenda nyuma yao.... Watu kama akina Kitila, Kitila (bila kujali usomi wake) Mtela...
Mazungumzo niliyofanya usiku huu na Mbunge mmoja wa Kigoma (NCCR Mageuzi) na "mmoja wa Vijana wa kutoka Mbozi - walioasi CHADEMA na kuhamia chama cha kijani" - Mchana wa leo CCM, CUF na CHADEMA vitapoteza wafuasi wao kwenda NCCR MAGEUZI...
Jumapili hii ya tarehe 24/11/2013 Vyama hivyo vitatu...
Kwa Muda mrefu sana tumekuwa na vyama vya siasa hapa nchini ambavyo viongozi wake wamehodhi madaraka.. Augustino Mrema amekuwa Mwenyekiti wa TLP tangu mwishoni mwa miaka ya tisini mpaka sasa; Cheyo ni mwenyekiti wa kudumu tangu mwanzoni mwa miaka ya tisini... Wote hawa waligombea Urais mpaka...
CUF:HAKI SAWA KWA WOTE!
Chama cha Wananchi au Civic United Front (CUF) ni chama cha kisiasa nchini Tanzania. CUF ni chama cha uliberali wa kidemokrasia ambacho kauli mbiu yake ni Haki Sawa kwa Wote na Sera yake Kuu ni Utajirisho. CUF inasimamia elimu bora, afya madhubuti, mfumo adilifu wa kodi...
15 OCTOBER 2013
PRESS RELEASE
East African Community (EAC) is pleased to announce scholarship opportunities for undergraduate students from EAC Countries interested in Peace and Security Studies. This program will give the students a chance to learn more about the region and the opportunity to...
Kuanzia siku ya JUMANNE tarehe 10/sept/2013 wakazi wa kijiji cha LWELU wako mafichoni baada ya kukimbia kipigo ndani ya kijiji chao... Siku hiyo mimi nilikuwa MTWARA kujitambulisha UKWENI...
Nikiwa nimepokelewa mchana wa siku hiyo kabla hata ya kufanya mazungumzo na wakwe ZANGU niliona gari za...
Hamjambo members wa - JF? sijui mnaendeleaje na harakati za kwenda RITA kubadilisha yale majina ya kufoji tuliyoweka kwenye hati zetu za kumiliki mashamba magari na assets zetu nginyine wakiwemo wake zetu na watoto wetu ?ahhaaaa! Just joking!
Hivi ndugu zanguni hebu tujiulize, tunapopata ajira...
Tetezi nilizozipata kutoka kwa wakazi wawili wa mtwara (ambao ni wafanyabiashara) zinasema kwamba wakazi wa mtwara leo wanafanya mgomo baridi bila kupambana na mtu ili kushinikiza mbunge wao aachiwe. Wamepanga kutofungua biashara yoyote wala kuendesha maandamano ya aina yoyote kwa siku nzima ya...
SIDHANI kama kuna atayeshangaa akikiona Chama cha Mapinduzi (CCM) kinaangushwa katika uchaguzi ujao wa 2015. Uwezekano wa CCM kwenda kapa 2015 ni mkubwa endapo uchaguzi wa mwaka huo hautokuwa na magube.
Viongozi wa chama wanalijua hilo. Ndio maana baadhi yao wamekwishaanza kuingiwa na wahka na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.