Ili somo nshawahi kulitoa ila ntarudia tena.
Kuna aina mbili za wanaume dunia hii.. Alpha males na Beta males. Alpha males wanajua wanachotaka. Wanaelekeza mawazo na nguvu zao katika kujitafuta na mwanamke anakuwa kama addition tu maishani mwake. Beta males n kinyume chake.
Sasa wanawake...
Alienzisha huu uzi naye sijui aliwaza nn[emoji28]
Kwangu hii michezo nmeanza zamani. Kuanzia kibaba mama, kuogelea hadi beki 3. Ila nayokumbuka vzur japo nlikuwa underage umri wa miaka 7+ alikuw beki 3. Ananshika kachululu anasema ingiza hapa...ata nlikuw sihisi kitu au skumbk ila nlikuwa...
Bro! Shituka! Mke wako anapenda kucheat. Na sio kuwa ana visasi au nn hapana. Yeye kucheat kwake kawaida. Bitch ain't loyal kabisa. Na izo ulizogundua ndo anajitetea kwa kukufanya ww ndo uonekane umesababisha lakin mwanamke anayejiheshimy bro hawezi toa mwili wake ili tu kulipiza...mwili n kitu...
Mtu unaenda vip kwa demu kufanya usafi aisee. Ndo maana mnapigiwa maana anakuona hauna msimamo. You're just Mr. Nice guy ngoja Ma Alpha wakusaidie majukumu...nyie ndo mnaona kila dalili za demu kutaka mkuyenge ila bado mnauliza Can i kiss u[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] Hakuna polee msiba...
Characteristics of Alpha Male
1. Non-needness. Never put a Woman's need before yours. Jali mahitaji yako kwanz kabla hujaanza kumuwaza mwenza wako
2. Get busy smart and wealthy. Katika maisha yako ya mahusiano usiwahi kuamin kwamba pesa haina nafasi. Pesa ina nafasi kubwa na kadri unavyoitafuta...
Kuna kitu muandishi hakielewi! Women are selective ikija issue ya kuzaa na mwanaume. Wanachagua Alpha males ambao ni wanaume wanaojua wanachotaka. Men on top of the food chain. Wanataka wanawe wafanane au warithi izo tabia au DNA za Alpha. Wako tayari kuzaa na muuza mkaa mtafutaji ilimradi...
Unavyoandika tu unaonekana uko needy ata kwa mtu asiyekufahamu. If you'll come out needy ata kama una good intentions women will ignore you. Wewe hauko busy? Stop making a woman a focus of your life. Get busy. Meet new people.
Unavyozidi kuomba kupewa ndo unavyojishusha hadhi na utaishia kuingizwa kweny friendzone. A man should know why anatongoza kwanza na hapo hamira uwa haijifichi. Kama unamtongoza awe mke halaf unampa lift kwa gari la rafiki trust me mwanamke uyo ashajua dhamira yako ni nini. Kama unatak kumla tu...
Mtu unaua ndoa kisa 1.5m kweli? Kweny Movie ya Sharper kuna mzee alitoa ushauri nanukuu " If you're going to steal. Then steal alot" 1.5m ndo ya kukufanya ukaharbu utu wako... she's just cheap
Mwanamke wa ivyo ni wa kwenda naye kwa akili. Message ndio ushahidi wako. Nenda nao kwa mmewe umuelezee au mtishie mwanamke utafanya ivyo asipolipa fedha yako. Ukifika kwa mmewe ukaona naye hatilii maanani bas ujue iyo n gang na anaweza kukuwah kwa mmewe akasema umemtaka akakataa
Usiende lodge...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.