Binadamu tuna kazi, sasa huyo Mange akifungwa nyie mtapata faida gani? Mna ishusha hadhi JF kwa kupenda kujadili maisha ya watu, siku hizi JF inaitwa ya wambea na waliokosa kazi. Ebu tupunguze umbeya
Mkuu, hilo jambo hata sikuungi mkono. Kwanini umwachishe kazi mwenzio, Je umemwandaaje kwa maisha ya badae? hatuombei mabaya, ghafla Muumba amuue kukurudisha kwake, mwenzio utamwacha anaendeshaje maisha yake? fikiria uamuzi wako tena
JK ndiyo kafanya tutukanwe, aache kuendekeza safari za ovyo. Msafara wake ana beba watu 30 wote wa nini? wote wanalipiwa hotel hotel anayo lala yeye. mkutano utakuta ni 1+2, wengine wote wanaishia shopping tu. kUnadhani watoa misaada hiyo awaoni? wacha watutukane, labda Rais wetu atajifunza
Mtoa mada yuko sawa kabisa, kweli huyo jamaa ana haki ya kutuponda sababu hiyo misaada tunayopata toka Uingereza ni kodi zao wanazolipa. Kwa hiyo yeye ni mmoja wa walipa kodi, lazima hela yake iume kutumika vibaya.
:rant:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.