Mchakato wake unaufaham mkuu ayayaa ni shidaaa..
Inafikia mahala hawatoi wanakuambia kaombe kazi sie tutatuma ushahidi wa vyeti kwa email.
Bora hata hivo vya chuo lakin vya o level pana mtihani si kitoto.
Kiukweli wanaume siku hizi hakuna
Baba zetu walikuwa wanaume haswaa.
Yaani uzae na mtu usijue uhalisia wa mtoto kuwa huyu ni wako au laah?
Kwamba usimkaripie mwanao hata kakosa kisa unaogopa utaambiwa sio mwanao?
Wanaume wa kileo ni vifurushiiii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.