Kuna uwezekano ukaanza biashara na mtaji wa laki 1 na uku bado unasoma.
Dah na kama upo ni biashara gani maana maisha ya kuwa tegemezi some time yanachosha. kama inawezekana ushauri wako plz na idea ili tuongeze uwezo wakufikiri kutafuta pesa na tuweze kuwekeza.. tujikwamua kwenye tegemezii...
Rejea mada tajwa apo juu, haswa play station (PS). Nauliza upatikanaji wa PS (3,4au5) zinapatikana kwenye maduka gani ukuwa Arusha au Tanznia kwa ujumla na beii zake zikoje.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.