Ulichokipost ni image ya mtu aliepost instagram! Naweza kuyaweka hayo maneno pia kama yalisemwa na Trump au Bob Robert Mugabe! Kwahiyo tunafyekelea mbali uzushi huu.
Kaka Fundi umempata! Utajaribu kupima kati ya Thadei na Huyu. Yeye anaitwa Ally Dilunga. Ni maarufu sana, amefanya kazi na kampuni ya Canopies International kwenye renovations ya ofc nyingi hapo dsm na mikoani kwenye Benki za NMB. Kabla hajafanya kwangu walikua Igunga-Tabora.
Namba yake ni...
Nadhani mkataba hapa haupo! Hata hayo matela aliyoleta kimsingi yameletwa kukiwa hakuna mkataba! Kama alipewa pesa in advance, arejeshe na utaratibu wa kumpata mzabuni mwingine ufuatwe!
Failure to deliver within specified time in the contract is a bleach of contract and there should be a penalty...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.