Search results

  1. S

    Wale tuliotoka familia masikini na tukatusua kimaisha tukutane hapa

    kwa maelezo yako bado hujatusua, ungesema una kampuni yako inayokuingizia kadhaa hapo ningekuelewa
  2. S

    Kama umeajiriwa sehemu yoyote shika sana kazi yako hakikisha huipotezi, ukiipoteza utajuta

    hizi Ni habari zinakuhusu wewe na waoga wenzio wa maisha
  3. S

    Najipanga kwenda Canada kutafuta maisha

    nyie wote Ni mazwazwa hamna lolote.
  4. S

    Ukweli mchungu: Kama Serikali ingeamua kuongeza tozo hata kwa 100% hakuna Mtanzania angeweza kugoma

    wewe Ni mpumbavu, hivi ulishafikiria Kwanini mataifa hufilisika.
  5. S

    Kupanda kwa gharama za maisha

    fafanua hao wanyonge wanakuangushaje.
  6. S

    Serikali itunge sheria kuhusu uzazi wa mpango angalau watoto wawili kila familia maana kasi ya uzazi Tanzania inatisha

    resources tunazo nyingi sana za kuweza kuhudumia population ya billion people,tunachotakiwa Ni kupanua na kuboresha huduma za afya, kurekebisha mfumo wa elimu ili tuwe na elimu ya kisasa. kama madini, mistu, mafuta, gesi, water bodies , ardhi yenye rutuba, vivutio vya utalii vyote tunavyo
  7. S

    Serikali itunge sheria kuhusu uzazi wa mpango angalau watoto wawili kila familia maana kasi ya uzazi Tanzania inatisha

    we Ni akili ndogo kusema watu wasizae watoto wengi Bali serikali inatakiwa iongeze production ya social services, kutanua na kuimarisha fursa za uchumi kwa Kasi ili hao wanaozaliwa waje kuwa productive.
  8. S

    Spika Ndugai awashukia wasomi nchini, asema anajua watamshambulia katika mitandao

    kuitwa mheshimiwa na hizo taito za darasani yote Ni ulimbukeni hakuna la maana.
  9. S

    Spika Ndugai awashukia wasomi nchini, asema anajua watamshambulia katika mitandao

    hizo Ni pumba tu, Kwani hizo taito zinawaongezea nn, huo Ni ulimbukeni na ushamba wa elimu.
  10. S

    Tukumbushane maisha ya UDSM enzi hizo, wazee wa Bibo na Main Campus

    we nae bumu lilikuwa elf 5,kipndi hiyo watu wanataka kuandamana Hadi ikulu na nakumbuka alikuja kawambwa alikuwa waziri wa elimu kipndi hicho.
  11. S

    Upotoshaji kuhusu mizimu

    mi siungi mkono hoja,hakuna mizimu Wala mungu kwenye Maisha yetu kama binadam
  12. S

    Maeneo aliyoyatolea ufafanuzi Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa

    ivi biashara ya ndege zote hizo kwa mkupuo ina faida kweli au ndo mnatubebesha tu gharama za kulipa mishahara na maintanance. Zilizopo tu bado hazifanyi vizuri , tungeenda step by step ingekua vizuri zaidi.
  13. S

    Maeneo aliyoyatolea ufafanuzi Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa

    ivi biashara ya ndege zote hizo kwa mkupuo ina faida kweli au ndo mnatubebesha tu gharama za kulipa mishahara na maintanance. Zilizopo tu bado hazifanyi vizuri , tungeenda step by step ingekua vizuri zaidi.
  14. S

    Gerson Msigwa siasa zimekufanya usahau ulipotoka? Acha kudharau watanzania

    imefika muda maamuzi ya serikali hii ya awamu ya sita tuyakatae kwa vitendo na huyo msigwa Ni mpumbavu analinganishaje tz na ulaya.
Back
Top Bottom