Hoja nyingine ya hovyo ni kuhusu mgombea binafsi asiwe mwanachama wa chama chochote kwa miezi sita. Sarawat yule muasisi wa ugombea binafsi nchini alikuwa mwana TANU. Sasa hawa hiyo hoja sijui wameitoa kwa misingi gani?
Hamas ni gaidi, gaidi hana ndugu. Sisi tunaojifanya eti tuna undugu na Hamas yafaa tujue hilo. Hamas yuko tayari kuwatumia wapaletina wenzake kama ngao ya vita, atashindwa nini kumlipua mtz
Just imagine unaongea na mama yako kuhusu hili suala, unadhani yeye angependelea yupi kati ya hao wawili.
NB: kibiblia mama yako ndo anajua sifa za mke anayekufaa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.