Najua wengi munaangalia muandiko mtililiko hiyo changamoto niliyo niyo, ndomaa nikasomea kazin isiyo taka mwandiko. hivyo ningumu kunibadiliaha ukielewa sawa usipo elewa tafutamutu akueleweshe maana wapo walio elewa zaidi yako.
Shida yangu siyo kuomba ushauri isipokua najaribu kubadilishana stori kwenye hilijukwaa. Wala simulahumu mama wa mtt ,maana mwisho siku nivitu tumepitia kwenye maisha, na maisha yameendelea.
Nilikua nae kwa mda wa miaka mitatu tumebahatika kupata mtoto mmoja wa kiume amewahi, kuondoka nakurudi kwao mala 2 hii safari ya tatu. Kibaya zaidi hataki kupokea cm ananitukana matusu kwenye sms kilanikitaka kumujulia mtoto hali yake.
Mara ya kwanza aliondoka alikuta sms ya jinsia yakike...
Hipi nikozi nzuri kati ya hizi mbili biomedical science na Biotechnology mwenye uzohefu na hizi course au kamakunamtu anasoma course mojawapo nisaidie number.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.