Dear My Future Wife,
I'm writing this while you are away and I’m here thinking of all moment with you.
If only I were to describe how lucky and blessed I am to have you in my life, no proper words I would have get to say it all yet I would like to fill pages to express it all.
You're that most...
Shirika la Umoja wa Mataifa la elimu, sayansi na tamaduni UNESCO limesema watoto milioni 250 wa shule ya msingi duniani kati ya watoto milioni 650 hawajui kusoma na kuandika na hata kufanya hesabu rahisi. Hii ni kulingana na ripoti ya shirika hilo inayotolewa kila mwaka. Kwanini hali hii...
Nobody can give you freedom. Nobody can give you equality or justice or anything. If you're a man, you take it.
Malcolm X
Read more at Malcolm X Quotes - BrainyQuote
Nobody can give you freedom. Nobody can give you equality or justice or anything. If you're a man, you take it.
Malcolm X
Read...
Mpiganaji na mzalendo wa kweli ni lazima apate uchungu hasa ukizingatia hali halisi ilivyo nchi inayotawaliwa na mafisadi na waficha pesa nje ya nchi......
Tunachojua ni kutoa ahadi bila kutekeleza ahadi
Inauma sana
Serikali ya CCM iache mbinu hizi ambazo tulishazijua. Serikali ikatatue tatizo la msingi la MZOZO WA MIONGO KADHAA KATI YAKE NA WAISLAMU. CCM iwaache waislamu watafute uongozi wao huru kabisa, wanaouamini. Kufikiri ATI maoni ya waislamu yataendelea kusimamiwa, kuratibiwa na kuongozwa na...
Narudia tena usizungumze ili watu waone na wewe umezungumza..... au na wewe ndo wale wale mtu akidai haki basi ankuwa gaidi.. niwapi na lini ponda alifanya ugaidi na au ugaidi wa ponda uko wapi.
Ni mangapi yanafanywa na watetea haki lakn hayaonekani kuwa ni ugaidi. Mbona tatetea haki wa CDM...
Davis Rweyemamu wrote:
Kwakuwa ni lazima tupongezane ili tuonekane wazalendo basi pongezi ziwaendee
Wahandisi wote wanaojenga majengo marefu ya kisasa na yakaporomoka
Wanasheria wote wanaotetea majambazi na wabadhilifu nchini mwetu
Madaktari wote mliohitimu na kupasua watu vichwa badala ya...
tukiangalia sasa nchi ilivyoshikiliwa na wafanyabiashara na mafisadi. Na wakulima kila siku matatzo hakuna masoko, pembejeo hazieleweki, kila kitu majanga... Nin umuhmu wa nane nane kwa sasa?
Msingi wa sherehe na maonesho ya kilimo (nane nane) ulikuwa ni kutekeleza kwa vitendo falsafa ya Nyerere kuwa Tanzania ni nchi ya wakulima na wafanyakazi ndio maana akaanzisha siku hii maalum kwa heshima ya wakulima kama iliyo Mei mosi kwa wafanyakazi lengo ni kuwapa fursa wakulima kutoa kero...
I tried to think more than twice kupata hasa hoja, lakini cjaona hoja hapo mkuu, hebu fikiria kauli kama KUWEPO KWA JAJI MKUU, MKUU WA MAJESHI, MKUU WA POLISI.....AMBAO NI WAISLAMU KUNAHUSIANA NINI HASA NA UDHAIFU WA SERIKALI YA (JK), nimejaribu kuhoji mantiki ya yeye kuhusisha uislamu, na...
Mkuu hapa umepotoka, kuandamana waislamu kunahusiana nin na uwepo wa mabomu, je ni halali kwa kila muandamanaji apigwe mabomu.........
Hoja kama hizi ndo zile zinazochochea udini,mkuu wa majeshi, jaji kiongozi, mkuu wa polisi, jaji mkuu kuwa muislamu kunahusiana nini na maandamano ya waislamu...
Ndugu yangu uko sahihi na unachokizungumza, we all talks about fact, we should consider where does that fact come from........hasa kwetu sisi vijana tujifunze kufikiri kwa mawazo yetu, na si wa mawazo ya watu wengine.......
Gud point kaka inatakiwa ifike kipindi tukubali kuwa hakuna binadamu walio kamili, na ili kufika hasa pale tunapotaka tunahitaji watu wa kutukosoa, kwani siku zote kukosolewa kunamjenga mtu kuwa na maono chanya, hili jambo limekuwa likiniumiza kichwa na sisi vijana tusitumie macho kutazama, bali...
Najua, kwa mtu halisi kabisa, Ikulu ni mzigo! Hupakimbilii! Si mahali pa kupakimbilia hata kidogo; huwezi kupakimbilia Ikulu. Unapakimbilia kwenda kutafuta nini?
Mtu yeyote anayeonekana anapenda sana kwenda Ikulu na hata yupo tayari kununua kura ili kumwezesha kufika Ikulu ni wa kumkwepa kama...
Katika mambo ambayo binafsi huwa sielewi chanzo chake, basi mojawapo ni umasikini na lingine ni utajiri. Maneno haya hunichanganya sana hasa ninapoangalia nchi zetu za kiafrika. Huwa najiuliza hivi utajiri unapimwa na nini? Je umasikini hutambuliwa na nini? Je ni kweli umasikini upo? Na kama upo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.