Acha ujinga wako wa kidini,kwani wote waliomwagiwa tindikali,waliopigwa mabomu,waliongolewa meno na kucha,waliotolewa macho,waliouawa nk wote ni waislamu?au wakristo ni halali yao kuuliwa!acha ushamba na uswahili wako.issue tunayojadili hapa ni haki za binadamu si haki za udini.uwe mstaarabu
waalimu ni wanafiki sana,wanaudhi sana wanapotumiwa kuiba na kuchakachua kura na kushiriki kikamilifu kuiweka CCM madarakani kwa miaka mingi.kinachowapata kinawastahili ili wajifunze kuwa magamba ni janga la kitaifa.hivi hawakujua tabia za...
Na wewe inaonekana Yanga kushinda imekuuma sana roho hata ukashindwa hata kuona jana refarii alipoiumiza Yanga kwa kadi nyingi mpaka na nyekundu pia hata marefarii wa nje huko huko Ulaya anakotoka kocha wako wa APR wanafanya the same.mfano mechi ya Arsenal na Chelsea,Thiery Henry alipiga...
HII NI KAMA MOVIE YA KINAIGERIA MASHETANI YANANYANYASA SANA LAKINI MWISHO WA SIKU YANAKUJA KUPIGWA VIBAYA SANA NA NGUVU YA MUNGU.SAUTI YA UMMA =NGUVU YA UMMA=SAUTI YA WATU=SAUTI YA MUNGU
WIZI,UMWAGAJI DAMU,UZINZI NA UWASHERATI,UFISADI,RUSHWA,TAKRIMA,MATUSI,UONGO N.K=UFALME WA GIZA=UFALME WA...
aisee jamaa kweli kaishiwa hoja mpaka anaoungea vumbi, alichokiongea tena sio pumba manake angalau pumba unaweza kutumia kulisha mifugo lakini vumbi ni balaa tupu au ameugua ghafla ugonjwa wa akili naomba wadau mnisaidie kunijuza
mtoa hoja hana hoja zenye akili may be amepagawa na ushindi wa chama makini.Hakutrajia ni sawa na mfa maji.WAO WANAJIVUNIA WIZI WA KURA,MABOMU,UFISADI(WIZI),UZINZI NA UASHERATI,POLISI,UNYANYASAJI LAKINI SISI TUNAJIVUNIA NGUVU YA UMMA NA MUNGU MANAKE SAUTI YA WATU NI SAUTI YA MUNGU
hayo ni malipo mazuri ya CCM.Mikoa mingi ambayo CCM imejikita sana na wadau wengi ni wa CCM wako nyuma sana kielimu na kiuchumi na pia huduma za jamii ni duni sana
kati ya mambo ambayo binafsi yananiuzi katika nchi hii ni haya ya kuyapa majina mazuri maovu.nitatoa mifano michache:
WEZI=MAFISADI
RUSHWA=TAKRIMA
HAWARA=NYUMBA NDOGO/bwana wangu/boyfriend
Kinachoniumiza sana ni pale mafisadi wanapofurahia sana kuitwa mafisadi mpaka wengine wanaenda kufanya...
kutoendelea kuwa na maximo ilikuwa kosa kubwa sana bcoz alikuwa zaidi ya kocha,kuhamasisha,kutilia mkazo nidhamu,kuvumbua vipaji tofauti na Paulsen.mfano mzuri ni kocha wa zambia aliemfukuza mulenga kwa utovu wa nidhamu ni matokeo yake tumeyaona
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.