Kuna dogo kamaliza kidago cha nne mwaka huu kapata division two ya 22 kapangiwa chuo cha elimu ya awali (ualimu ) afanyeje ili aweze kubadiri aendelee na kidato cha tano na sita?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama unaweza kutoka nje ya Moro ukaenda wilayani kwenye miji inayokua na yenye senta naimani hiyo pesa yako utaifaidi. Kama upo tayari njoo pm
Sent using Jamii Forums mobile app
Oya wahuni mambo ni aje !? Mie leo naandika kihuni unajua kwanini? Kwakua nimeamua kuingia mtaani kuzisaka mia Mia, jero jero na buku buku.
Oya wakuu nimejifunza kitu kimoja kwa maisha ya mtaani hasa kwa wadau wanao fanya bishara / ujasiliamari mitaani.
Kitu pekee nilicho gundua ukitaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.