Timu mnaleta ninyi katika mazingira ya kawaida watu kutofautiana tamaduni, mitazamo, dini, idikadi za kisiasa na mengineyo ..ni kawaida sana hivyo kama unaona hapafanani na wewe ondoka tu au jaribu kuwa na tolerance na utaratibu wa eneo husika..
Mimi sisimamii ushahidi wa hiyo website ndugu yangu ...ipo hivi mimi nasimamia sababu za kumfanya mtu amfukuze mteja wake ambae amefanya uwekezaji kwa ajili ya kupata wageni kama hao.....ikifika hatua mtu amfukuze basi kuna jambo kiakili unapaswa kuliona....kwa kuwa under normal circumstamnce...
use common sense not emotion..yaani mfanyabiashara ambae akipata wageni ni furaha na faida kwake, afikie hatua ya kumfukuza mgeni bila sababu ya msingi? Wote hatukuwepo eneo la tukio lakini akili tunazo..
Ukitumia tu logcal reasoning na sio ushabiki...mfanya biashara hasa wa mambo ya hotel na utalii ..kipaumbele chake cha biashara ni customer service & hospitality ...kamwe hawezi kumfukuza mteja kirahisi hivyo eti kisa amecomplain kwa kuwa complaining is normal mazingira ya hotel, hao wazungu...
Kwa hakika zipo namna nyingi za complaining zipo ambazo ni violence na non-violence....mpaka ifikie hatua ya kufukuzwa hotelini mostly like ni violence tu.
ukisoma vizuri hiyo habari kulingana na taarifa wamefukuzwa baada ya kuleta fujo hotelini...! hata kama jambo hupendi tafuta utaratibu mzuri wa kuwasilidha si fujo ...na tukilea tabia za wageni kufanya fujo nyumbani kwetu ni kuharibu heshima yetu pia.
kwani shida iko wapi?? Mwigulu anayo maoni na mawazo yake ...na haimaanishi ni sahihi ila bado ni maoni na mtazamo wake..ridhika na hilo,tambua wewe una mawazo na mitazamo yako na haiko sawa na watu wote...na mtu huwezi kumzuia au kumpangia namna anavyofikiri au anavyoona.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.