Search results

  1. twende wote

    Kujinyonga kwa vijana na watoto

    Habari wadau, Niende kwenye mada, Jambo la mtoto au kijana kujinyonga sio Jambo la kumlaumu mtu, Jambo Hilo Ni Jambo linaloenda ki Imani zaidi, (Dini) Jambo hili liko ktk ulimwengu wa roho, Ninaposema ulimwengu wa roho naomba mnielewe kwa wale wakristo mtanielewa, mwanadamu ameumbwa na vitu 3...
  2. twende wote

    Hofu yatanda kwa wazazi, watoto kufundishwa kulawitiana mashuleni. Tufanye nini kuokoa watoto wetu?

    Shetani Yuko kazini, hataki kuona nafsi ya mtu ikiingia peponi, Hawa matron na patron wapatikane wazee, sio vijana, na pengine wamiliki wa shule wanajua huu mchezo Ni maagano yao, ili wazidi kupata wateja, tajiri kuuona ufalme wa mbingu, Ni ngumu sana
  3. twende wote

    Hivi kweli, Hawa panya wanaweza kushinda jeshi la polisi na vyombo vyote vya ulinzi na usalama?

    Hivi kweli, Hawa panya wanaweza kushinda jeshi la polisi na vyombo vyote vya ulinzi na usalama? Hebu Wana usalama acheni kutia aibu, hao vijana hawakulelewa, kamateni wakafichwe wasirudi mtaani, Kama polisi mnashindwa, ingieni operation maaalum na JWTZ. Acheni kupuuza Hali itazidi kuwa mbaya...
  4. twende wote

    Nahitaji kanisa lenye miujiza

    Achana na miujiza, kweli inaanza na wewe, ukiamini kumpokea Yesu kristo, ukatubu na kufanya Sala ya Toba, ukaamua kuacha dhambi zako, hakika utabarikiwa, na mabalaa unayoyaona yanatoweka, shida inakuja ukirudi Tena ktk uovu, hapo shetani anarudi na rafiki zake Mara dufu, hapo utateseka daima...
  5. twende wote

    Hospitali ya Kamanga jirekebisheni

    Hospitali yenu Ni nzuri kwa uwekezaji, Ila ni mbovu kabisa kwa huduma, hasa upande wa bima hasa za NHIF. Mnabambika madeni ya matibabu, mbaya zaidi huduma za wazazi wajawazito, Ni mbovu na wengi wanapoteza maisha ktk uzazi shida iko wapi?? Msipobasilika mtapoteza wateja, yatabaki maghorofa. Kama...
  6. twende wote

    Kufika Desemba njaa itaua watu, Serikali ichukue hatua haraka

    Waziri Bashe chakula ni uti wa mgongo, leo msimu wa mavuno mahindi yamefika laki na 20, na bado yanapanda, sawa achieni watu wapate pesa, lakini pesa haina maana kama kuna mfumuko, zuieni mipaka, tengeneza soko la ndani, kweli nawaambia, viongozi wangu mtakosa majibu ya wananchi, muda ni...
  7. twende wote

    Waziri Bashe aache sifa apige marufuku Uuzaji wa Chakula nje

    Nilishaandika mara kadhaa hamchukulii serious,,sasa tusubiri tuone km serikali yetu haitaingia kwenye dhahama ya kutafuta chakula cha misaada, fanyeni upembuzi, uone faida ya kuuza na faida ya kununua baadae,km vp serikali inunue ihifadhi baadae wauze kwa bei ya serikali,,leo ruhusu watu wavute...
  8. twende wote

    Mabinti zangu acheni matumizi hatari ya P2

    Niwasihi wadogo zangu haya matumizi ya haya madawa acheni yatawaletea madhara ya ukubwani, hakuna wa kuwasemea ali mradi ni biashara za watu, ila nawaonea huruma, acheni haya mambo. Kama unashindwa kuwa na subira maliza masomo yako olewa.
  9. twende wote

    TEMESA wakubaliana na Azam Marine kuvusha abiria Kigamboni (Ferry)

    Hii nchi tunateseka sana, umpe mwekezaji halafu wewe itengeneze zipone ndo urudi kutoa huduma?? Dah, nchi inapotea,hiyo Magogoni ndo itakuwa imetoweka kiivo tena, mwekezaji yuko tayari kuhujumu hiyo Magogoni isipipone abadani, mtaniambia siku moja
  10. twende wote

    Serikali zuieni chakula kuuzwa nje ya nchi, hali ni ngumu. Mbona mmeziba masikio?

    Namaanisha, tupaze sauti,chakula kisitoke nje ya mipaka yetu, kama vipi serikali inunue ihifadhi kwenye maghala yake,, tunaenda kupata shida muda si mrefu
  11. twende wote

    Serikali zuieni chakula kuuzwa nje ya nchi, hali ni ngumu. Mbona mmeziba masikio?

    Leo naongea kwa uchungu maneno mafupi sana, chakula kinatoka nje ya nchi tunachekelea, sasa njaa ikizidi naona kama nchi itakuwa ngumu kutawalika, nashauri waziri husika, bashe ONA kwa jicho la tatu, uliza mahindi au mchele miaka ya mavuno bei zikoje?? Msipochukua adhari,, Dunia itatushangaa
  12. twende wote

    Waziri wa Kilimo sikia kulio chetu

    Habari za majukumu, Niende kwenye mada, hebu SERIKALI ingilieni suala la Hawa wageni, wanavuka mipaka wanakuja nchini wanakusanya mazao kwa Bei ya juu, mpaka Sasa gunia la mpunga linauzwa zaidi ya laki moja, wakulima wanauza kiholela sana, sikatai mi Jambo jema, lakini!? Swali je? Baada ya...
  13. twende wote

    Jirani: Kabla ya tukio la mauaji ya wanandoa, kulitokea mauzauza nyumbani kwao

    Unapopata Mali, hasa Mali za biashara za madini na majini, watu wake wengi vifo vyao huwa vinaacha maswali mengi, kwa maana Mali nyingi hupatikana kwa maagano, kwa hiyo Mara nyingi sababu ya kifo huwa Ni kisababishi tu,, Ila msingi wa kifo marehemu anakuwa ameshajua siku nyingi atakufaje...
  14. twende wote

    Wananchi wakataa kunyoosha mikono kwenye mkutano wa Nape kupinga kauli za kichonganishi za Nape dhidi ya Magufuli, watu wamemchoka ajitafakari

    Mtu anasema, nilijua tu siku moja tutakuwa pamoja, kweli unafurahia kifo Cha mtu,, kweli?? Kuweni na hofu ya Mungu jamani
  15. twende wote

    Wananchi wakataa kunyoosha mikono kwenye mkutano wa Nape kupinga kauli za kichonganishi za Nape dhidi ya Magufuli, watu wamemchoka ajitafakari

    Huwezi kufurahia kifo Cha binadamu mwenzako ukidhani wewe umekuja duniani kuota mizizi, KARMA is a bitch, ukifanya ubaya kwa mwenzako tarajia kabla ya kuondoka ubaya lazima ukukute, fatilia watu wamatukio mabaya woote, hata vijana wakorofi mtaani huwa wanaishia wapi?? Yule mwamba ha ata...
  16. twende wote

    USHAURI: Serikali inunue chakula kwa wakulima

    Niende kwenye mada. Wakulima wameivisha CHAKULA,, lakini cha ajabu chakula kinanunuliwa na wageni wa nchi jirani kiholela, wanapeleka pesa mashine ni wananunua mchele kwa bei za kuruka. Baada ya mavuno bei zitapanda, mara sugu, na pengine kurudisha tena tz na kutuuzia tena kwa bei mara mbili...
  17. twende wote

    Kwanini Wakufunzi wa Vyuo wanachukuliwa wenye GPA kubwa huku Walimu wanaajiriwa bila hata usaili

    Hiyo GPA lectures wanasaajiliwa kwa malengo ya international standard,maana baada ya muda wanapaswa kwenda nje kusoma,na vigezo ni GPA kubwa,kwa imani lectures Ni mtu anapaswa awe na uwezo mkubwa wa kumbukumbu na kuhifadhi mambo mengi, so inaaminika, lawyers, madaktari wa binadamu,pamoja na...
Back
Top Bottom