Jaman nina chunusi hadi zinapandiana, sikuwahi kuwa nazo kabla ila nadhan zimetokana na ujauzito, kama kuna mtu anajua dawa, muda mwingine hadi natamani nisitoke nje.
Amani iwe kwenu. Guys natarajia kufunga ndoa mwshon mwa mwez ujao. Nimewaza zawadi ya kumpa mamangu na bwana harusi mtarajiwa siku ya sendof nakosa idea mpya.
Nawaomben idea. Bajeti yangu ni shiling zisizozidi laki mbili na nusu (250,000) kwa kila mmoja. Zawadi ya saa au viatu kwa mume...
Hellow guys, meplan kwenda matema beach monday nikitokea mbeya mjini. Naomba kusaidiwa a,b,c z za kufika huko. Ikiwa ni pamoja na transport cost kwa public transport, bei ya malaz na gharama nyngnezo zote. Na muda wa safar kutoka mbeya mjini. Na ikiwa panafaa kwenda hata hiki kipindi cha mvua.
Kama heading inavyojieleza nina binamu yangu jinsia ke ni 28 years, kagraduate chuo mwaka 2012 ni mwajiriwa sasa. Katika pitapita zangu megundua anatembea na mtoto wa family friend bad enough yeye ni mwathirika wa Ukimwi na anatumia dawa na kijana mdogo sana ndio kwanza atakua na 19 years. Hapa...
Mimi ni msichana mwenye umri wa kuolewa na kuwa mama kabisa. Nina mahusiano ambayo tulipanga mwakani tufunge ndoa. Kabla ya kuwa na uhusiano na mpenzi wangu wa sasa nilikuwa na uhusiano ambao tulishindwana sababu ya mimi kukataa sex mpaka ndoa, mwenzangu akashndwa uvumilivu akawa na mahusiano...
Naomba msaada nitumie njia gan ili nisiwashwe na kutoka mapele au rashes kwapan nikitumia deodorant ya aina yoyote au body spray ikigusa ngozi ya kwapa. Kuacha kutumia nashndwa kwa sabu natoka jasho sana na linatoa harufu kali. Help plz
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.