Hapo zamani za kale, kulikuwa na mfalme katika kisiwa fulani ambaye akilijulikana kwa jina la malafyale. Huyu malafyale mungu alimjalia hekima, na kwa hekima zake ndiko kulipelekea kukitwaa kisiwa mikononi mwa wakoloni pasipo kumwaga damu.
Kwa vile malafyale alikuwa na akili sana, akaona...
Nilikuwa natembea njiani, ghafla nikamuana mtu ninaemjua, mkononi kashika panga na chepe, kwajinsi nilivyomuona kama amekuwa chizi. Kwajinsi tulivyo angaliana akakunja sura na kutoa ishara kama nirudi nilikotoka, nageuka nyuma naona paka wawili weusi wamekaa sawa sawa kisha wamekenua meno...
poleni na majukumu mabibi na mabwana napiga hodi katika jamvin hii rasmi baada ya kufatilia michango ya wanajamii kwa muda mrefu nimeamua kujiunga rasmi naomba ushirikiano wenu.ASANTENI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.