CAG anakuwa kama mganga wa kienyeji; “kuna mtu anakuroga” hakutajii ni nani anayrkuroga, kuna haja ya CAG kubainisha wahusika wa ubadhirifu wa fedha za umma kuliko kusema tu, “watumishi sita waliiba kiasi fulani cha pesa”. Funguka ili wachukuliwe hatua
Chachu na kasi kubwa ya maendeleo huendana na mfumo thabiti wa kuitawala katika serikali. Mfumo bora wa kiutawala huleta msisimko kwa watendaji, watumishi na wananchi kujitoa kwa dhati kuleta maendeleo katika taifa letu.
Kwa mtazamo wangu, watanzania tumekuwa na mtazamo kuwa miaka mitano katika...
Mimi Nilipohitimu chuo nilitafuta namna ya kupata taarifa mbalimbali za ajira, jambo la kwanza niliitumia vizuri Tekno yangu, kwanza nilijiunga na mitandao muhimu ya kijamii mfano Telegram na WhatsApp, huko nilihakikisha najiunga makundi yatakayonipa taarifa za ajira ili nisiwalaumu wenzangu...
Ni kweli kusema tatizo sio USAID wenyewe huenda tatizo tukawa sisi wabongo tuliopewa nyazifa mbalimbali pale boresha afya, lakini bado Boresha afya wenyewe wanayohaki ya kulaumiwa juu ya uzembe huu. Mfano kwa mkoa wa Ruvuma yapo Mashirika ambayo yanafanya kazi na boresha afya kama NICE na ROA...
Hapo kwenye sifa za huyo mwanaume tu ndio mnapokosea wadada, mnapenda waume za watu kuliko waume zenu mnaostahili, tatizo wamawake wengi siku hz wanafikiria kupata wanaume waliofanikiwa and stable financially pasipokujua most of them wako occupied. Mimi ushauri wangu jaribu kuondoa hiyo pointi...
Nina miaka 29, mfanyakazi kwenye NGO inayohusika na mambo ya UKIMWI, Nahitaji mchumba awe na umri kati ya miaka 18-25, awe hajawahi kuolewa asiwe na mtoto au watoto, asiwe mfupi sana maana ni changamoto, kabila lolote lile na dini yoyote ile ila awe tayari kuambatana na mimi kiimani, awe mcha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.