Search results

  1. Mkandarasi Mkuu

    Wasafi FM Unguja yapigwa faini Milioni 5 kwa kuvunja masharti ya Leseni

    “Maadili ya Mzanzibari”, Kuna kila sababu za kuvunja huu muungano maana wenzetu wanavyakwao ila vya huku Tanganyika ni vyetu wote,
  2. Mkandarasi Mkuu

    Natafuta rafiki wa kiume

    Ninafanya kazi na nimesoma afya ila sifa zingine sina na siwezi kuahidi kuwa kaka na sitaki kuwa kaka wakati nitakudinya tu
  3. Mkandarasi Mkuu

    Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) 2020/21

    CAG anakuwa kama mganga wa kienyeji; “kuna mtu anakuroga” hakutajii ni nani anayrkuroga, kuna haja ya CAG kubainisha wahusika wa ubadhirifu wa fedha za umma kuliko kusema tu, “watumishi sita waliiba kiasi fulani cha pesa”. Funguka ili wachukuliwe hatua
  4. Mkandarasi Mkuu

    Nahitaji Mwanamke mwenye Umasikini kama wangu ili tupendane Kidhati na tushirikiane Kuinuka Kimaisha

    Ukishainuka kimaisha unapiga chini unatafuta tajiri sasa
  5. Mkandarasi Mkuu

    Haki ya Utawala bora, Viongozi kukaa madarakani kwa muda mrefu, madaraka ya Urais, mfumo wa uteuzi wa Wakuu wa Mikoa, Wilaya na Wakurugenzi

    Chachu na kasi kubwa ya maendeleo huendana na mfumo thabiti wa kuitawala katika serikali. Mfumo bora wa kiutawala huleta msisimko kwa watendaji, watumishi na wananchi kujitoa kwa dhati kuleta maendeleo katika taifa letu. Kwa mtazamo wangu, watanzania tumekuwa na mtazamo kuwa miaka mitano katika...
  6. Mkandarasi Mkuu

    USAID Boresha Afya Southern Zone, mtalipa lini madai ya community testers?

    Ila wanawajibika moja kwa moja maana wao ndio wanaingia mkataba na mtumishi. Asipolipwa mwajiriwa wao nani wa kwanza kubeba msalaba huO?
  7. Mkandarasi Mkuu

    USAID Boresha Afya Southern Zone, mtalipa lini madai ya community testers?

    Mimi Nilipohitimu chuo nilitafuta namna ya kupata taarifa mbalimbali za ajira, jambo la kwanza niliitumia vizuri Tekno yangu, kwanza nilijiunga na mitandao muhimu ya kijamii mfano Telegram na WhatsApp, huko nilihakikisha najiunga makundi yatakayonipa taarifa za ajira ili nisiwalaumu wenzangu...
  8. Mkandarasi Mkuu

    USAID Boresha Afya Southern Zone, mtalipa lini madai ya community testers?

    Ni kweli kusema tatizo sio USAID wenyewe huenda tatizo tukawa sisi wabongo tuliopewa nyazifa mbalimbali pale boresha afya, lakini bado Boresha afya wenyewe wanayohaki ya kulaumiwa juu ya uzembe huu. Mfano kwa mkoa wa Ruvuma yapo Mashirika ambayo yanafanya kazi na boresha afya kama NICE na ROA...
  9. Mkandarasi Mkuu

    All good men are married, so sad

    Hapo kwenye sifa za huyo mwanaume tu ndio mnapokosea wadada, mnapenda waume za watu kuliko waume zenu mnaostahili, tatizo wamawake wengi siku hz wanafikiria kupata wanaume waliofanikiwa and stable financially pasipokujua most of them wako occupied. Mimi ushauri wangu jaribu kuondoa hiyo pointi...
  10. Mkandarasi Mkuu

    Mwanaume kamili wa kuongezeana furaha na siku za kuishi duniani anatafutwa

    Huyo mwanaume unayemuelezea sifa zake mbona ni mume wa mwenzio kabisa. Au unataka kuolewa mitala
  11. Mkandarasi Mkuu

    Nahitaji mchumba wa kike

    Nina miaka 29, mfanyakazi kwenye NGO inayohusika na mambo ya UKIMWI, Nahitaji mchumba awe na umri kati ya miaka 18-25, awe hajawahi kuolewa asiwe na mtoto au watoto, asiwe mfupi sana maana ni changamoto, kabila lolote lile na dini yoyote ile ila awe tayari kuambatana na mimi kiimani, awe mcha...
  12. Mkandarasi Mkuu

    Samia Suluhu: Siupendi msemo wa "Adui wa Mwanamke ni Mwanamke mwenzie". Walio nafasi za juu wawavute wengine

    Tena yeye mwenyewe ana nafasi kubwa sana sasa ni wakati wa wanawake kuvutika😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Back
Top Bottom