Rais wa Zambia Hichilema kasha wahi sema kwamba inapo tokea rais wa nchi kufanya mambo ya hovyo lawama hupelekwa kwa washauri na wasaidizi na mwisho kabisa akasema,wanashindwa kutambua kuwa hao washauri na wasaidizi ni reflection ya kiongozi mwenyewe.
Yesu alisema kila mtu atabeba msalaba wake.Matendo yako ndio mshahara wako.police acha wale waliko peleka mboga.
Police ni miongoni mwa watumishi wasio stahili kupiganiwa maana wamejaa mazuzu na wapumbavu.
Hizo mbwembwe zipo Afrika kwa wapumbavu.Comrade Hitler aliwanyoosha kisawa Sawa,mpaka leo wakisikia Wanazi wanakumbuka yaliyo wakuta kwenye zile kambi.
Idadi kubwa ya wapumbavu siku zote,hupaswa kuongozwa na kundi la wenye akili wachache na mageuzi yatapatikana lakini ikiwa kinyume chake ni Sawa na ndoto za Alnacha.
Tanzania tuna shida ya kukubali upumbavu na wapumbavu ndo wenye madaraka.
Katika mchakato wa kusanifisha Lugha ya Kiswahili,Wakenya walipinga sana lahaja ya kiunguja kuwa ndo lahaja ya usanifu wa Kiswahili,nadhani kasumba hii ndo sababu wao kutumia lahaja zao hasa kilamu.
Usanifu wa Kiswahili katika mazungumzo ni nadra sana,kupata matamshi sahihi ya sarufi ya Kiswahili kunahitajika umakini ulio toshevu kwa wenye kuifahamu lugha.
Kataa kubali huo ndio ukweli wenyewe,huwezi weka katika uzani ulio sawa Kati ya uongozi wa nyumbani na nchi.Hapa anajadiliwa Mandella wewe unaleta mambo ya mke.
Ndo yale yale alisema Botho "Mwafrika anapenda sana ngono na kuoa wanawake wengi".
Umemuuliza swali nzuri sana,Mimi binafsi huwa nawaza ikiwa mambo madogo kama mipango miji,maji Safi na salama,afya,Elimu nk tumeshindwa tutaweza mipango ya maendeleo ya kiuchumi kweli ?
Kipindi taifa kama SA likiweka mipango ya taasisi imara na sio mtu imara,Tanzania ilikuwa ikiimba mapambia ya...
Kaburu Botha alisha wahi sema " mwafrika hawezi kujitawala" jambo hili hata Malkia Elizabeth aliwahi kuwaambia wapigania uhuru wa kiafrika kwamba nyie mnadai uhuru lakini uwezo wa kujitawala hamna.
Na ukiangalia ni kweli Yale walio yapinga enzi za Ukoloni ndo yale yale walikujaa kuyakumbatia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.