Wakati tuko Busy na Yanga na Simba watu wanagawana nchi

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Mar 11, 2020
2,716
6,522
Ni vigumu kukuta Watanzania wanajadili mambo yanayo husu maisha yao, Maswala ya kodi isio rafiki kwenye biashara, Upigaji, Tatizo la ajira au matumizi ya anasa ya Serikali.

watawala kujazilishia wakabuni na Idea ya kununua Goli sh milion 10. Fikiria wananunua goli milion 10 na unapata Text kutoka kwa mzazi wako kijijini anataka pesa ya kununulia dawa make kwenye kituo cha afya hakina dawa zaidi ya Panadol.

Na wajinga tunaona ni sawa mgoli yanunuliwe ilihali kuna shule hazina matundu ya vyooo kabisa wanafunzi wanajisaidia vichakani.Kuna Zahanati hazina dawa kabisa.

Watanzania kutwa nzima ni habari za Mpirawa Yanga na Simba, unakuta mtu hajanywa hata Chai kwa sababu ya umasikini wa kutengenezwa na CCM ila kutwa nzima ni Yanga na Simba.Hakuna kitu kingine anakijua.

Hizi FM station nazo ni hivyo hivyo, kutwa nzima ni maada za michezo hawana maada zingine.Huwezi kukuta kituo cha Redio kinajadili hata maswala ya kodi,hio ni maada ngumu sana kwao.

Na watawala wanafurahia sana kuona Watanzania wako busy na Mpira, hii ni faida kwao make wanajipigia bila wasiwasi.

Ndio hio mianya wanaitumia hata wakina Mwigulu kuanza kuandaa watoto wao kuja kitawala watoto wetu, make hata watoto wetu tumewaambukiza ujinga huu huu.Watoto wanajifunza kutoka kwa wazazi wao, kama wazazu kutwa nzima ni maada za Mpira, hata na wao watakuwa hivyo hivyo.
 
Dah nnimefungua nkajua watoto pendwa wa msoga wameshajikatia vipande vya mikoa kiutawala kumbe ni hii.

Ukweli ni kwamba siasa zipo,maisha yapo na mpira upo.Hakuna namna kila mtu ataongelea siasa au mpira kwa pamoja.Ndio maana ukienda kwenye siasa utakuta watu baadhi wanawakilisha kutaja mifano michache ya watu(Heche,Mdude,Martin na wengineo wanafanya mijadala ya siasa kuwa active) ukienda kwenye mpira utakuta watu pia.

Labda tuseme tu kwamba kuwepo kiasi katika kufanya haya mambo lakini hakuna siku watu watakosa kusema Yanga also known as Uto au simba sc na hii sio sababu ya ugumu wa maisha au maendeleo yetu kwenda kwa kasi ndogo
 
Ni vigumu kukuta Watanzania wanajadili mambo yanayo husu maisha yao, Maswala ya kodi isio rafiki kwenye biashara, Upigaji, Tatizo la ajira au matumizi ya anasa ya Serikali.

watawala kujazilishia wakabuni na Idea ya kununua Goli sh milion 10. Fikiria wananunua goli milion 10 na unapata Text kutoka kwa mzazi wako kijijini anataka pesa ya kununulia dawa make kwenye kituo cha afya hakina dawa zaidi ya Panadol.

Na wajinga tunaona ni sawa mgoli yanunuliwe ilihali kuna shule hazina matundu ya vyooo kabisa wanafunzi wanajisaidia vichakani.Kuna Zahanati hazina dawa kabisa.

Watanzania kutwa nzima ni habari za Mpirawa Yanga na Simba, unakuta mtu hajanywa hata Chai kwa sababu ya umasikini wa kutengenezwa na CCM ila kutwa nzima ni Yanga na Simba.Hakuna kitu kingine anakijua.

Hizi FM station nazo ni hivyo hivyo, kutwa nzima ni maada za michezo hawana maada zingine.Huwezi kukuta kituo cha Redio kinajadili hata maswala ya kodi,hio ni maada ngumu sana kwao.

Na watawala wanafurahia sana kuona Watanzania wako busy na Mpira, hii ni faida kwao make wanajipigia bila wasiwasi.

Ndio hio mianya wanaitumia hata wakina Mwigulu kuanza kuandaa watoto wao kuja kitawala watoto wetu, make hata watoto wetu tumewaambukiza ujinga huu huu.Watoto wanajifunza kutoka kwa wazazi wao, kama wazazu kutwa nzima ni maada za Mpira, hata na wao watakuwa hivyo hivyo.
Naunga mkono hoja na hii ndio sababu CCM Iko madarakani Toka uhuru .
 
Wakati mwingine nimekaa zangu mahala flani either nakula au kunywa kwenye kimgahawa, basi kuna mpuuzi mmoja humjui wala hakujui unaona ana peruzi kwenye simu mara anaanzisha mada za mpira, lengo ni wewe uanze kuchangia, utasikia "aisee ile penalty jana Msuva sijui kaikosaje" mara utasikia ile beki inabidi wamuuze... Sasa hapo anajiongelesha huku anakutizama kikubwa muanze maongezi ya mipira" unamuona kama taahira flani.

Chizi mwingine kwenye daladala anaanzisha ujinga maongezi anaongea peke yake kama mwehu..
Hawajui watu wana mawazo wanawaza maisha , kodi za nyumba na shida binafsi.

Wao muda wote ni mpira, msikitini mpira, kanisani mpira, daladala mpira, hadi misibani ni mada za mipira tu... Jinga kabisa.
 
Mda mwingine kulaumu kitu bila suluhisho ni sawa na kulazimisha samaki atoke majini. Mbona watanzania ndo tulivyo! Umbea, mada za wasanii, vikao vya kwenye kahawa hasa wazee,

Mimi naona ndio utamaduni wetu, hakuna cha kulaumu. Tatizo sio michezo wala magoli ya mama. Tatizo ni serikali na uongozi mbovu. Kwa iyo mtoa mada unataka watanzania wote tuwe tunaongelea sjui kodi soil wote wamesomea economics. Swala la ajira ni janga sio Tanzania peke yake, haya tukija kwenye upigaji unafikiri mwananchi mnyonge anasauti hio ya kuleta mabadiliko? Mimi sioni haja ya kulaumu wakati ndo utamaduni wetu huo.
 
Ni vigumu kukuta Watanzania wanajadili mambo yanayo husu maisha yao, Maswala ya kodi isio rafiki kwenye biashara, Upigaji, Tatizo la ajira au matumizi ya anasa ya Serikali.

watawala kujazilishia wakabuni na Idea ya kununua Goli sh milion 10. Fikiria wananunua goli milion 10 na unapata Text kutoka kwa mzazi wako kijijini anataka pesa ya kununulia dawa make kwenye kituo cha afya hakina dawa zaidi ya Panadol.

Na wajinga tunaona ni sawa mgoli yanunuliwe ilihali kuna shule hazina matundu ya vyooo kabisa wanafunzi wanajisaidia vichakani.Kuna Zahanati hazina dawa kabisa.

Watanzania kutwa nzima ni habari za Mpirawa Yanga na Simba, unakuta mtu hajanywa hata Chai kwa sababu ya umasikini wa kutengenezwa na CCM ila kutwa nzima ni Yanga na Simba.Hakuna kitu kingine anakijua.

Hizi FM station nazo ni hivyo hivyo, kutwa nzima ni maada za michezo hawana maada zingine.Huwezi kukuta kituo cha Redio kinajadili hata maswala ya kodi,hio ni maada ngumu sana kwao.

Na watawala wanafurahia sana kuona Watanzania wako busy na Mpira, hii ni faida kwao make wanajipigia bila wasiwasi.

Ndio hio mianya wanaitumia hata wakina Mwigulu kuanza kuandaa watoto wao kuja kitawala watoto wetu, make hata watoto wetu tumewaambukiza ujinga huu huu.Watoto wanajifunza kutoka kwa wazazi wao, kama wazazu kutwa nzima ni maada za Mpira, hata na wao watakuwa hivyo hivyo.
Mkuu

Uko na hoja lakini zipo displaced!
 
Mda mwingine kulaumu kitu bila suluhisho ni sawa na kulazimisha samaki atoke majini. Mbona watanzania ndo tulivyo! Umbea, mada za wasanii, vikao vya kwenye kahawa hasa wazee,

Mimi naona nido utamaduni wetu, hakuna cha kulaumu. Tatizo sio michezo wala magoli ya mama. Tatizo ni serikali na uongozi mbovu. Kwa iyo mtoa mada unataka watanzania wote tuwe tunaongelea sjui kodi soil wote wamesomea economics. Swala la ajira ni janga sio Tanzania peke yake, haya tukija kwenye upigaji unafikiri mwananchi mnyonge anasauti hio ya kuleta mabadiliko? Mimi sioni haja ya kulaumu wakati ndo utamaduni wetu huo.
Exactly

Issue ya ajira kwa mfano, 90% ya Serikali za hapa Duniani hazina jibu nini kifanyike kulinda ama kutengeneza ajira mpya. Maana Artificial intelligence ni "teke" aka pigo linalofanana na mapinduzi ya viwanda linalopunguza matumizi ya watu kwenye kila sekta.

Hili pigo la AI ni pigo kwenye mfumo wa elimu, pigo kwa wote waliopo kwenye ajira na wale wanaotarajia kuingia kwenye soko la ajira.

90% ya Serikali duniani ziko hoi, hazijui nini kifanyike
 
Exactly

Issue ya ajira kwa mfano, 90% ya Serikali za hapa Duniani hazina jibu nini kifanyike kulinda ama kutengeneza ajira mpya. Maana Artificial intelligence ni "teke" aka pigo linalofanana na mapinduzi ya viwanda linalopunguza matumizi ya watu kwenye kila sekta.

Hili pigo la AI ni pigo kwenye mfumo wa elimu, pigo kwa wote waliopo kwenye ajira na wale wanaotarajia kuingia kwenye soko la ajira.

90% ya Serikali duniani ziko hoi, hazijui nini kifanyike
Na baada ya miaka 10 hakutakua na haja ya kuingia darasani. Ajira nyingi zitakua substituted na AI
 
Back
Top Bottom