Mimi ni kijana mwenye miaka 27, naishi mkoa wa Kigoma, natafuta mke wa kuishi naye maishani na tuwe mke na mume.
Sifa zangu muoaji
1. Elimu ngazi Shahada ya Kwanza(Bachelor degree).
2. Mwembamba kiumbo.
3. Mrefu.
4. Kazi - Shughuli ndogondogo, bado sijaajiriwa.
5. Dini - Islamic.
6. Sina mtoto...
Habari,naomba mwenye michongo ya kazi naomba tuwasiliane PM
Elimu
Ualimu wa chemistry & Biology (SUA)
Useremala bado nipo mafunzoni Ila baadhi ya vitu Kama kutengeneza Meza,stuli na kupiga blandering
Kazi ninazohitaji
-Kufundisha masomo ya kemia na bioloji kwa shule za private jamani ata part...
Je kunautofauti gani kati ya bachelor of science with education (chemistry and biology) na bachelor of education in science ( chemistry and biology) katika upande wa job opportunities na upana katika kujiendeleza kielimu
Je kunautofauti gani kati ya bachelor of science with education (chemistry and biology) na bachelor of education in science ( chemistry and biology) katika upande wa job opportunities na upana katika kujiendeleza kielimu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.