Wakuu me ndo Kwanza nna wiki moja getto. Cku ya kwanza nilipika mchele, nkatoa bonge moja la boko wali kama ugali vle, Ila asa hv nmekuwa fundi kimtindo
Niliokuwa Kwa mujibu was Sheria, nulimuuliza private mmoja khusu mshahara wa commando,akasema commando ni Cheo Cha kisen....inabidi baada ya mda uwe umetulia na familia yako umechill.co maisha yote porini tu,hata mishahara Yao wamawazid kidogo tu.
Huwezi ukasema Mungu hayupo wakat haumjui.Nisawasawa na umekutana na mtu kwenye sherehe,alaf unamuuliza umemwona Joseph ukumbini?anakujibu sijamwona,unamuuliza unamjua lakin? Anakujibu cmjui.unabaki kushangaa sasa amejuaje Kama Joseph hayupo ukumbini wakat hamjui.Vivohivyo hatuwezi kusema Mungu...
Punguzeni presha wadau,me naona haya mambo bahati tu sometimes,muombeni Mungu Kama ni baht bac na nyie iwaangukie.kama cc wengine tumeripoti chuo hatujui tutasomaje tukikosa mkopo,lakini tumeomba Mungu Kama baht bac na me mnyonge npate,na Kuna wengine had sa hv hawajapata Kama nyie wameamua...
Hivi kwann wabunge wa kuteuliwa had sa hv hawajaapishwa mbona wa viti maalum ilikuwa mapema tu,hoka c kuwaapisha haraka wawahi kuwatumikia wananch au??
Hawajatangaza,hata sa hv hanna matangazo waliyoweka me Jana nakumbuka nawaza kishenzi ntasomaje bila mkopo,nkaamua kuingia tu SIPA,nikakuta mzigo umetema.cjui wanaangalia vigezo gani Hawa jamaa au cjui ndo BAHATI,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.