Mimi ni kijana umri wa miaka kadhaa Mungu kanijaalia kazi tu ya kawaida nashukuru kwa hilo, mimi ni kijana ambaye kwenye jamii naonekana kijana mwenye heshima mpole na sifa nzuri Sana.
Shida ni kwamba sina furaha kabisa coz tokea nijue habari za mahusiano sijawahi pata mtu ninayempenda coz...
Ilikuwa ni mwaka2017 nilipomkuta huyu mtoto katika stationary moja pale dar nikihitaji mahitaji fulani. Mtoto nikamwelewa sana but akadai ana mtu wake licha ya kumfukuzia sana basi nikaona isiwe vibaya ikabidi niwe tu friend ili mradi niwe nakula hata kwa macho..
Basi tukazoeana hata akawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.