nyalujama
JF-Expert Member
- Sep 4, 2020
- 221
- 342
Mimi ni kijana umri wa miaka kadhaa Mungu kanijaalia kazi tu ya kawaida nashukuru kwa hilo, mimi ni kijana ambaye kwenye jamii naonekana kijana mwenye heshima mpole na sifa nzuri Sana.
Shida ni kwamba sina furaha kabisa coz tokea nijue habari za mahusiano sijawahi pata mtu ninayempenda coz nahisi hali yangu ya introvert inaninyima hiyo nafasi.
Yaani wasichana wanavutiwa na upole wangu but hawako tayari kuwa na mimi japokuwa sio kwamba labda naogopa kupiga sound but Sina bahati hiyo.
Unakuta Nina namba za watoto wakali hata 10 lakini at the end sipati hata mmoja licha ya kwamba najitahidi my best kuendana na mazingira mwisho wa siku najikuta nafuta tu namba coz naona kama wananichora tu
Kinachoniponza ni hali yangu ya ukimya na upole pia Mimi ni introvert by nature, Najikuta najichukia coz zamani nilihisi labda kwakuwa Sina hela ndio maana hakuna anaenipenda leo nimepata japo kiduchu naona Hali iko vile vile hapa ninapoandika Huu Uzi nimetoka kufuta namba za mademu wote ambao nilitamani nipate mmoja wapo ila naona Kama ni Mimi tu ambaye ninashida nao
But all in all nimeazimia moyoni kuachana na kabisa na hii sekta coz naona sijaumbiwa kushinda katika hili Jambo
Na nachukia hii hali( introvert) naona Kama mkosi Fulani japo siwezi ibadilisha
Kama na wewe unapitia Hali hii au ulipitia share uzoefu wako tujifariji
Shida ni kwamba sina furaha kabisa coz tokea nijue habari za mahusiano sijawahi pata mtu ninayempenda coz nahisi hali yangu ya introvert inaninyima hiyo nafasi.
Yaani wasichana wanavutiwa na upole wangu but hawako tayari kuwa na mimi japokuwa sio kwamba labda naogopa kupiga sound but Sina bahati hiyo.
Unakuta Nina namba za watoto wakali hata 10 lakini at the end sipati hata mmoja licha ya kwamba najitahidi my best kuendana na mazingira mwisho wa siku najikuta nafuta tu namba coz naona kama wananichora tu
Kinachoniponza ni hali yangu ya ukimya na upole pia Mimi ni introvert by nature, Najikuta najichukia coz zamani nilihisi labda kwakuwa Sina hela ndio maana hakuna anaenipenda leo nimepata japo kiduchu naona Hali iko vile vile hapa ninapoandika Huu Uzi nimetoka kufuta namba za mademu wote ambao nilitamani nipate mmoja wapo ila naona Kama ni Mimi tu ambaye ninashida nao
But all in all nimeazimia moyoni kuachana na kabisa na hii sekta coz naona sijaumbiwa kushinda katika hili Jambo
Na nachukia hii hali( introvert) naona Kama mkosi Fulani japo siwezi ibadilisha
Kama na wewe unapitia Hali hii au ulipitia share uzoefu wako tujifariji