wakuu hii tv ilikuwa inaoneshwa na ITV miaka ya nyuma kidogo! je kuna yeyote anaweza kunisaidia kuipata hata kwa gharama kidogo...please please msaada kwa yeyote.
me nakanusha hana cheo chochote chamani ni mchumia tumbo na katibu mwenezi ccm ajulikanae kwa jina la Tostao ndo amemnunulia pombe na kumshawaishi adai yeye ndo katibu mwenezi....na tunajua Tostao anafanya hivyo kwa sababu anataka udiwani but hapa ataisoma number tumejipanga kuwagalagaza kama...
me nipo longido na mkazi wa pale huyo c katibu mwenezi na hana cheo chochote ndani ya chama wilaya ni mlevi tu ccm wamemchukua na kumtaka aseme hivyo...na aliyofanya hayo ni katibu mwenezi ccm nayejulikana kama Tostao ambaye anataka udiwani so kaamua kuwapiga changalamoto kinana na nape ili...
hilo liDC limekaa pale miaka yote hayo but hakuna lilichofanya....mji unashida ya maji kama nini lakinji maccm yapo tu....Injinia wa maji na DED wana kesi TAKUKURU ya kuchakachua mradi wa maji lakini bado wapo ofcn...wampeleke kinana akafungue hicho kisima cha maji walichochakachua...
hata longido nasikia anakuja tarhe 16 mwezi huu...hakuna mradi wa kufungua so wameomba kwa NGO inayoitwa TEMBO ambao wanajenga librarly kubwa ya wilaya eti afungue....nasikia wenyewe wamekataa so wanahaha kuwaomba wakubali angalau apite tu aangalia then asepe.....Shame maccm...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.