[emoji2][emoji2] af kwa kuwa ulikuwa kipanga darasan, ukafaulu kila unaekutana nae anajua una bonge la kaz pahara lazma aulize, wengine masnich tu anajua kila kitu bt anakuuliza makusud akutibue.
Mie naamin kufanikiwa kupo tu, Kama sio leo kesho.
Mie nmekuwa nkipata Hera tatzo haztunzik, zkija...
Mayai hapana ndg.. zenji kuna wafugaji wa kuku had vijijin kabisa msee.. wanafuga hao layer kwa wingi.. may be ya kienyeji.
Vitunguu, nyanya, mabonga ni deal sana mzee sema kuna misimu yake, hasa mwez wa 11 wa 6 kwa nyanya na vtunguu, maboga peleka kipnd cha ramadhan utakuja nshukuru.
Kuku shamba Wana range 5000 - 14 kwa tabora ( japo nna miaka mi 2 sshughulik na hiz issue, yaan hyo 14 n jogoo kubwa la kuuza had 28. Singida wanaenda had 18 (kwa manyon mnadan) dodoma pia almost 16.
Nenda siku ya mnada, kuna wale wafanya biashara wanaotoaga vijijin wewe ndio utaongea nae, huwaga wanauzaga kwa jumla sasa anaweza kukupiga coz atakuchomekea na vidogo vdogo ambavyo utavinunua kwa bei ya juu, sasa wewe mwambie mi nataka ku sot utaje bei yako.
Unaweza ukajitega sehem ukawa...
Tanga kuku wanapatikana handeni, ni wazuri pia jitahid ku point kuku wakubwa, usiogope hata wakisimamia 14 - 15 watakulipa tu coz utauza 20 - 30.
Kwa kuanza unaweza changanya na wadogo ziwe znasimamia 10-13 coz utakuwa na changamoto ya wateja mwanzon. Bt kuku wakubwa wanapendwa sana.
Tafuta Banda lako mwenyewe sehemu ambayo unahis pamechangamka, au soko lolote, ukifuata unauza mwenyew, usimpe mtu auze then eit akupe pesa, kudhurumika ni dakika tu.
Ni biashara nzur sana hasa ukipata oda mahotelin. Chagua kuku wakubwa. Majogoo na majike. Usichukue wengi sana at least wawe 50...
Wasalamu.
Nipo mkoa jilani na Dar huku kuna fursa ya upatikanaji wa maziwa kwa wingi. Nahitaji mtu mwaminifu ambaye naweza fanya naye kazi walau aweze kuchukua litre 200 kwa kuanzia per day.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.