Ukiona kimezuiliwa kudahili, basi tambua kwamba hakijakidhi vigezo.
Na pia sidhani kama unazijua product zote za hapo mpaka utoe hiyo conclusion kwamba ni product nzuri
Kwahiyo ulitaka kumuona Virus kwa macho? Na udogo wake!
Vipi bacteria anayesababisha kipindupindu ulimuona?
Na nani kasema upungufu wa kinga ndio unaoambukizwa?
Huu uzi umejaa wajinga wa kushikiana akili. Hivi nani kawaambia vipimo vya UKIMWI vinapima upungufu wa kinga?
Vipo vipimo vya aina nyingi, kuna ambavyo ni vya antigen, antibody, Na vingine HIV mwenyewe!
Muna uelewa mdogo wa mambo ya afya halafu mnapotoshana!
Kama ulipima ukawa positive...
Wakiwa mahakamani katika kesi, wakili wa mashtaka alimwita shahidi wake wa kwanza, bibi, mama mzee mwenye msimamo.
Alimfuata na kumuuliza, 'Bi. Jones, unanijua?
Bibialijibu, 'Kwa nini, ndio, ninakujua, Bwana Williams.
Nimekujua tangu utotoni, na kwambia ukweli, ulikuwa una nitongoza.
Unasema...
Mbona mnashindwa kumuelewa? You are thinking emotionally!
Amesema ni moja kati ya nchi chache zilizokuwa na ukuaji uchumi chanya 2020. Au kwenye hiyo 4.8% mmeona alama ya negative?
Na ni kweli nchi nyingi duniani uchumi ulikuwa unasoma negative something.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mimi kuna dogo langu kapangiwa huko CBG! Ila shule bado nafasi moja iingie kumi bovu kitaifa mwaka jana [emoji23][emoji23]
Inaonekana hata mazingira yake sio mazuri kwa matokeo yale asee
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwaka gani mkuu? Hakuna point 7 wala 8 MUHAS MD, labda kozi nyingine.
Na wameliweka wazi kwamba kigezo cha kwanza kuchaguliwa ni ubora wa matokeo yako na si vinginevyo.
Haiwezekani mwenye point 7 akapata na 6 akakosa
Kuna watu wanaushambulia huu uzi utadhani kufaulu ni dhambi [emoji16][emoji16][emoji16]
Problem talk creates problems. Solution talk creates solutions
Ingependeza kama tungejikita zaidi kwenye kujadili nini kifanyike badala ya kujadili kila leo matokeo mabovu ya elimu yetu.
Je nini kifanyike...
Kusoma PCB mwaka mmoja inawezekana. Inategemea na kichwa chako na malengo yako pia.
Ni ngumu mno kupata matokeo makubwa kwa kusoma PCB ndani ya mwaka mmoja! Kama unataka tu div IV ukijitahidi sana III unaweza kujaribu.
Kuhusu past papers tembelea tovuti ya Maktaba tetea... Unaweza search...
"tena zisizo na tija"
MD haina tija mkuu? [emoji848]
Anyway, nakubaliana na wewe hesabu ni muhimu. Lakini kuna kozi kibao chuo kikuu ambazo hazihitaji umaridadi wako katika hesabu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa tufanye itachukua miaka 15, au hata 20!
Lakini usikatae ndio investment inayowafaa zaidi watumishi.
Naona una'oversimplify' mambo.. Hizo tenda zinapatikana kirahisi hivyo?
Ukweli ni huu : kama ni muajiriwa inakuwia ngumu mno kufanya biashara zinazotaka muda na ambazo ni very risky. The...
"ndio biashara ya wavivu wa kufikiri" at the same time "inawafaa wenye hela ndefu" [emoji848]
Kwani wenye hela ndefu ni wavivu kufikiri?
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.