SURA YA KWANZA
28/3/1989
Ulikuwa ni msafara wa watu watano, wawili kati yao, pamoja na mimi mwenyewe,
tukiwa ni waandishi wa habari waajiriwa wa kampuni ya Film Tanzania ambayo
ilikuwa ni kampuni ya habari na matangazo iliyojihusisha pia uchapaji wa
magazeti ya Tabasamu na Sunday, wakati...
Nakumbuka kipindi niko kidato cha kwanza kuna muhuni mmoja alinipatia kiasi akasisitiza niweke chini ya ulimi ila nisimeze mate.. Nkajisahau nkameza mate, hahaha nikaanza kuona ardhi inazunguka, ghafla macho yakaanza kupoteza nuru nkaanza kuona wale watu weupe.
Sent using Jamii Forums mobile app
NOTES FROM THE UNDERGROUND
By Fyodor Dostoevsky
Part I
___________________
*The author of the diary and the diary itself are, of course,
imaginary. Nevertheless it is clear that such persons as the
writer of these notes not only may, but positively must, exist
in our society, when we...
MFUASI
01
* *
Usiku ni rafiki wa giza! Naam. Giza hupambwa na nyota! Ndivyo. Lakini usiku huu haupo hivyo! Giza limenuna hakuna pambo za nyota wala nuru ya mwezi. Wingu zito limeteka utawala wa anga. Mvua kubwa inazidi kuichapa ardhi kibabe. Ngurumo za radi zinarindima kishari. Vijiji vyote...
RIWAYA; DOA
-----1-----
Ulikuwa ni muda sahihi kwa kila mmoja
kurejea nyumbani, muda ambao jua lilikuwa
limeanza kuiacha Mashariki yake na kwenda
kwa mchepuko wake bi. Magharibi. Harakati
za hapa na pale zilianza kufungwa, watu
walianza kujipa uchovu ili mradi tu, warejee
majumbani mwao...
BAADA ya miaka minne ya kuajiriwa bila hata kuongezwa mshahara au hata marupurupu, Bwana Juma Hassani aliamua kwenda kwa bosi wake kulalamika. Jibu alilolipata kwa bosi wake ni kwamba, hakupewa nyongeza wala marupurupu kwa sababu HAKUSTAHILI
Akauliza kwa nini?
Akaambiwa katika miaka minne...
Jamaa flani alikuwa amelala na mkewe. Mara akamuona mtu amesimama kitandani.
Jamaa akafoka, "Toka hapa, we ni nani mpaka unakuja kitandani mwangu?"
Yule mtu akajibu, "Mi ni malaika na hapa sio kitandani mwako uko mbinguni!"
Jamaa, "Huh! Inamaana nimekufa,mbona mi bado kijana… naomba nirudishwe!"...
USILETE UTANI KATIKA MAPENZI
Mdada mmoja alitaka kujua kiasi gani anapendwa na mume wake, hivyo akataka kujua mumewe atafanya nini endapo ataamua kuondoka na kumuacha!
Mwanamke huyo akaamua kuandika barua inayosema "Samahani mume wangu, nimeamua kuondoka na kwenda kuanza maisha mapya mbali na...
Pombe sio supu,cheki hawa..!!
Jamaa wawili walikuwa wanakunywa Bar wakaanza kuongea:-
Jamaa1: Unajua mzee wangu ni Polisi?
Jamaa 2: Weee kweli!? Hata mimi mzee wangu ni Polisi!
Jamaa 1: John is my last name.
Jamaa 2: (Akashangaa): Wow! Hata mimi My surname ni John!.
Jamaa 1: I'm 19 years old...
GENGE
EP1
JULAI 15, 1991 DIAMOND JUBILEE
SAUTI KUBWA YA MUZIKI ilisikika kutoka katika ukumbi huo maarufu jijini Dar es salaam, katika kitongoji maarufu cha Upanga. Ni harusi ya kukata na shoka, kati ya Bi. Egra Mwakasimba na Dastani Kihwelo. Mamia, kama si maelfu ya watu waliujaza ukumbi...
Stress ni pale unapompa msichana lift halafu akazimia ndani ya gari yako na humjui wala hujui kwao. Ulimkuta tu njiani ukamsaidia.!
Noma zaidi ni pale unapoamua kumpeleka huyo msichana hospitali na akabainika ana mimba dokta akaanza kukupongeza kuwa unakaribia kuitwa baba!
Stress ya tatu ni...
Cheka kidogo
Anakuja Mchina anasema anahitaji Paka[emoji250],
ananunua mmoja kwa bei ya 20,000/=, basi
wanakijiji wanahaha kusaka Paka[emoji250],
wanawaleta mchina ananunua wote anasepa
nao. Anarudi tena anasema vipi, naona
wameadimika, sasa ntanunua kwa bei ya
35,000 Paka[emoji250] mmoja...
Msaada wakuu jinsi ya kuset (multiple users) kwenye simu yangu nataka niset account Mbili moja kwa matumizi yangu na nyingine kwa ajili ya guest users natumia itel A32F
Jamaa wawili walikutana kwenye kituo cha basi wakafanya mazungumzo.
Mmoja aling'ang'ania kuzungumzia kero za familia yake hatimaye mwenzake akasema:- " Unadhani familia yako ina
matatizo?" Basi sikiliza kisa changu hiki:….
"Miaka michache iliyopita nilikutana na mwanamke mjane aliyekua na binti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.