Afisa utumishi ana nyodo vibaya na kujiona vibaya hivi serikali inawatoaga wapi hawa?
1. Kazi ya kufanya siku 2 au tatu yeye anafanya mwezi mzima.
2. Kuna wafanyakazi hawakuandishwa madaraja kwa sababu ya uzembe wake.
3. Ni mtu ambaye hajali watumishi ana wahudumi anao wajua tu.
4. Kuna...
Wewe haya nilioleta ni ya uongo waalimu wa shule ya msingi hawasimamii mtihani skondari?! Hya form six wanafanya mitihani sasa hivi waalimu wa primary na diploma ndio wanasimamia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.