TISS ni idara ya usalama wa Taifa Ni taasisi kubwa inayojitegemea ila inakusanya watu kutoka taasisi nyingine
Mfano kuna Police wako Tiss eg DG wa TISS ametokea police
Kuna wanajeshi pia wako Tiss
Kuna UT wako Tiss nk
Lengo kubwa hawa watu wakusanye information kutoka taasisi nyingine zote...
Mkuu sijatoa tangazo lolote kuwa naweza kusaidia mtu yoyote humu wala sijasema mtu yoyote aniletee chochote humu jukwaani hata huyo tuliyewasiliana ni nje kabisa na hapa kwahiyo ondoa shaka zaidi taarifa ya jeshi la Police iko clear ukiwa na sifa utachaguliwa
NB uko sahihi wasiwasi ndio akili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.