Mi nijuavyo ni kuwa tatizo la richmond is more of procurement procedures kuliko wizi au ufisadi. Hule mtambo haukuwa mali ya serikali hivyo issue kubwa ni walipataje kazi. Lakini hata mkataba sifikili kama ulikuwa na shida kama wa IPTL ambao tunajua kuwa gharama zilizokuwa zinatozwa zilikuwa juu...
Ni hoja ya muda mrefu na sasa ni bayana Owawa ndiye mgombea ubunge kupitia CDM jimbo la Rorya. Nimefanikiwa kumsikia jukwaani wanarorya hawatajuta kuwa na Owawa kama mbunge wao. Tumpe support.
Hapa Lipumba anadhibitisha kuwa elimu si kitu katika dini. Nchi hii hakuna serikali za majimbo hivyo ni ngumu kuwa na sera za kunufaisha maeneo yenye waislam wengi. Tuwe na mjadala wa kitaifa kujua waislam wanashida zipi ambazo watu wengine hawana? Isijekuwa na yale ya mtwara ya kutokunufaika na...
Kwani kuna hoja gani Mh anataka wabunge wasiitie dowa kama hakuna ni uoga na kupotosha mwelekeo wa wawakilishi wanaopaswa kuisimamia serikali. Mwenyekiti, katibu wanapaswa kukinusuru chama chao kwa kuendelea kutoa ahadi kwa wananchi badala ya kudisturb mfumo wa check and balance.
Nape hakuna chama kama COM. You can see by yourself. Members are respected. I think this is what CCM fear about. Tumaini has come with explanation that shows how respective they are to their members and how close to them. It was from this pressure there is a slim chance for CDM to slip. Nape si...
Msigwa umenifungua masikio na anayekusema vibaya na alaaniwe. Siku zote najiuliza kulikoni NASACO kufa kama mende. Hajabu ni kuwa kampuni imekufa lakini watumishi wake wanameli. Nakumbuka wakati wa Mh. Ben NASACO ilikuwa ni hoja ya moto hajabu kama ilivyokuwa kwa Balali mmoja ya watuhumiwa Bw...
Kama kuna watu kijijini kwako bado wanajishebedua kwa CCM basi huko propaganda za kidini zitakuwa zimewakaa. Kijijini kwanguu ni tofauti. CCM ni jina tu yaani nyoka wa shaba. Hivi ni mara ngapi umesikia wananchi wanaomba M4C itembelee maeneo yao? Hiyo inatosha kukuonyesha kuwa CHADEMA imeshika...
Ulinganifu huu haukuzingatia matukio kabla ya uchaguzi na historia ya utawala. Mugabe amekuwepo madarakani tangu uhuru miaka ya 80 na hakukubali mabadiliko kiuraisi huku kundi la wapigania uhuru wakiwa na sauti kubwa kwenye utawala bila utayari wa mabadiliko. Hii nitofauti na kenya ambao wao...
Hakuna mahala ambapo mstari umepita kutenganisha dini na siasa hivyo jamii husika ndiyo inajiwekea tafsiri ya mpaka Huo . Uliwaii kujiuliza ktk nchi zinazoongozwa kwa mfumo wa dini ni kwa namna gani siasa inatenganishwa na dini? Tukiongelea udini haimaanishi kuwa viongozi wa dini wakitamka...
Bora ifutwe maana wanaoangalia akili zote huko kiasi hawajui kinachoendelea nchini. Maombi yaanzie nyumbani kwako si kwa TB Joshua. Hatuwezi kuendesha nchi kwa miujiza.
Wassira ni mtu wa propaganda. Ni miongoni mwa wanasiasa wa siku nyingi aliyepitia hatua mbalimbali na bado mpaka leo yupo. Sifikirii mtu kama Edo au hata JK anaweza akawa na safari ya Siasa kama Wassira. Wassira utumika sana sehemu zile ngumu ambazo watu wanazomewa na CCM haikubaliki kweli...
Bila kujitambua katu hatutoweza kutoka kwenye umaskini? Just imagine watu wamelitengeneza giza na kuingia mikataba ya hajabu leo hii tunasema wanafaa kuwa viongozi. Mtu aliye na uchu wa madaraka kupindukia anayelalamikiwa na chama chake bado anatajwa kuwa kiongozi wa nchi. Mtu ambaye amekuwa...
Hesabu hii ni kiashiria tosha kuwa mfumo wa Elimu wa CCM umepitwa na wakati. Back to the topic, mtaji wa siasa kwa CHADEMA yapaswa kuwa ni watu na si fedha. Kujipanga kupata support ya kutosha katika jamii ni jambo la msingi. Watu wakijengwa kuiamini CHADEMA na kuchukia rushwa hapo 2015 CCM...
Wote wanafaa hasa kwa kumridhi JK lakini Dr. Slaa anafaa zaidi kwa sababu ya exposure aliyonayo, si kijana kifikra lakini anatambua mahitaji ya makundi yote ndani ya jamii lakini Dr. Slaa ni mtu anayetambua namna ya kutunza image yake ndani ya jamii kuliko Zitto ambaye amekubali kuacha maswali...
Jambo la msingi ni kuwa UD hawapendi kuendeleza utamaduni wake wa kutafuta fulsa ya kuwa miongoni mwa vyuo bora duniani. Kinataka kuwa chuo cha kutengeneza takwimu zaidi. Utawala wa sasa ungependa kuona sifa za UD zikishuka ili kukipa fulsa UDOM kuchukua nafasi ya chuo bora Tanzania na hivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.