Sasa mnabisha nini wakati hata hamjui ? Ndio maana hata sikutaka kuingia kiundani nilikwambia toka mwanzo.
Anyway mimi sina muda wa kufundisha vilaza nenda google na chatgpt ipo pia
Nyie futeni ujinga huu 😂😂😂😂😂😂 shida hamjui hiyo RSTP ni nini.
Kweli uto wenye akili wawili tu.
Uamuzi huo umefanywa na FIFA baada ya klabu hiyo kukiuka Annexe 3 ya Kanuni ya Uhamisho wa Wachezaji (RSTP) ya Shirikisho hilo.
Hivi mnajua hata hiyo annexe 3 inahusu nini ?
Ficheni huo ujinga...
Nyie futeni ujinga huu 😂😂😂😂😂😂 shida hamjui hiyo RSTP ni nini.
Kweli uto wenye akili wawili tu.
Uamuzi huo umefanywa na FIFA baada ya klabu hiyo kukiuka Annexe 3 ya Kanuni ya Uhamisho wa Wachezaji (RSTP) ya Shirikisho hilo.
Hivi mnajua hata hiyo annexe 3 inahusu nini ?
Ficheni huo ujinga...
Shida unajiona una jua sana nimekuona toka mwanzo na matango yako sikutaka tuingie kiundani.
Haya twende sasa, ikiwa TFF wamekiri kuwa Yanga wameshindwa kuthibitisha risiti ya malipo, nini kinafuta ?
Turudi sasa kwenye sheria za FIFA na TFF.
Haya sasa maana ake mchezaji haruhusiwi kucheza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.