suala la matumizi ya mafuta linasababishwa na mambo yafuatayo.
- mzigo ambao gari umebeba.
- upepo katika tairi, upepo mdogo tairi inapelekea kufanya resistance na barabara hence gari inakunywa mafuta.
- upepo kupitia windows: unapotembea ktk speed fulani madirisha wazi upepo unafanya resistance...
bin adam - an arabic word means "son of adam" Mtu - is a typical swahili word to mean the same. hii ni nomino.
binaadamu/ ubinaadamu, mtu/ utu pia hutumika kama sifa nzuri. hana utu/ubinaadamu. kumaanisha sifa halisi ya kiumbe mtu/ mwanaadamu ambayo ni ukarimu, upole, huruma na nyingi nyenginezo...
it was just recently about a three weeks ago. tunatoka dar to moro. duh kukaribia moro katika kale kapori ilikuwa kama saa 12 na nusu hivi jioni. mvua kali sana. ukungu umetanda hadi taa za full hazifanyi kazi kabisa. hapo ndipo tukaanza kutembea kwa 5kmph. kwa kubahatishia njia. no fog light...
unapozungumzia uchumi huwezi kuwasahau wafanya biashara. ni muhimili kwa uchumi wa taifa lolote. ni imani yangu anaweza hata kama siyo peke yake ila anaweza kuwa na mchango mzuri tu. hakuna sababu ya kumkatisha tamaa hasa ukizingatia we loose nothing kwa chochote atakachokifanya bali tutafaidika...
Mungu atulinde na balaa hii. ni yeye pekee asiyewezekana na asiyeshindwa. sisi ni kujishaua. kwa uwezo wake wasifike humu mwetu na siyo kusema hawatuwezi. amin
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.