Search results

  1. Wakala wa majini

    Taja instrument(s) au sehemu ya beat ya wimbo inayokuburudisha

    Mkanda wa kiuno by Pepe kale.Pale kuna kabeat kanapigwa kila akimaliza ka verse.
  2. Wakala wa majini

    Mwisho wa dunia ni Kati ya mwaka 2100 / 2500 na hizi ndio sababu zangu

    Duh! Natumai kiswahili kitakuwa bado kinatumika enzi hizo.
  3. Wakala wa majini

    Mwisho wa dunia ni Kati ya mwaka 2100 / 2500 na hizi ndio sababu zangu

    Nzuri kweli,ila inakaa kama movie vile
  4. Wakala wa majini

    Mjue Ali Solih, aliyekuwa Rais wa visiwa vya Comoro

    Ahahaa nikiipata mkuu nitaitupia humu ndani.
  5. Wakala wa majini

    Ken Walibora, Mwandishi mtajika wa vitabu vya Kiswahili kama vile Siku Njema amefariki

    Namkubali na kumtambua sana Huyo gwiji.Mimi kama muandishi chipukizi nimezisoma kazi zake karibu zote,kuanzia siku njema,kidagaa kimemuozea,Damu nyeusi,Ada na kaida kama sijakosea na nyingine nyingi.Hakika,nimezipokea habari za mauko yake kwa Kwa mshtuko mkubwa.Mungu ailaze roho yake pema peponi.
  6. Wakala wa majini

    Ukweli wa Kiini cha Mgogoro wa Waisrael/Wayahudi na Wapalestina

    Mkuu hili bandiko halihusiani na dini.
  7. Wakala wa majini

    Ukweli wa Kiini cha Mgogoro wa Waisrael/Wayahudi na Wapalestina

    Habari za asubuhi wana jamii.Nimekuja na muendelezo wa lile bandiko langu la jana. Naam,ujio wa wayahudi palestine ulipingwa vikali na viongozi wa kiarabu.Ikafikia kipindi,ulimwengu wote wa waarabu ukawa uko against jews.Ndio hapo kukazuka vurugu,na vitendo vya kujilipua vikazuka na...
  8. Wakala wa majini

    Ukweli wa Kiini cha Mgogoro wa Waisrael/Wayahudi na Wapalestina

    Hali ya Palestine ilivyo sasa,ni matokeo ya mwaka 1948,enzi za utawala wa Uingereza au British empire,ambapo Palestine iligawanya under terms of Balfour Declaration.Kulingana na ugavi huu,ni robo tu ya palestine ndio ilitengwa kwa makazi ya wayahudi waliokuwa diaspora,na sehemu iliyobaki...
  9. Wakala wa majini

    Mjue Ali Solih, aliyekuwa Rais wa visiwa vya Comoro

    Ahahaa,viongozi wetu Mkuu sijui wapi wanakwama mpaka sasa.Labda itakuwa ni ulimbukeni wa uongozi
  10. Wakala wa majini

    Mjue Ali Solih, aliyekuwa Rais wa visiwa vya Comoro

    Raisi watatu mkuu,sijawahi mjua huyo sayyed mohamed labda itakuwa ni kwa sababu ya huo muda aliongoza,mwaka mmoja sio.
  11. Wakala wa majini

    Mjue Ali Solih, aliyekuwa Rais wa visiwa vya Comoro

    Nani huyo mkuu alitoroka Kwa kujifunika baibui
  12. Wakala wa majini

    Mjue Ali Solih, aliyekuwa Rais wa visiwa vya Comoro

    Mkuu shughuli za hapa na pale zinanufanya nisiwe active humu jf.naiba iba muda
  13. Wakala wa majini

    Mjue Ali Solih, aliyekuwa Rais wa visiwa vya Comoro

    Muendelezo... Ali Solih alijisahau hata asijue kama alikuwa kazungukwa na maadui wengi waliokuwa wakipanga ni jinsi gani wataupindua utawala wake.Alikuwepo Bob Debard,mercenary hatari ambaye viongozi na wanasiasa kipindi hicho walikuwa wakimtumia kuua wanasiasa wasumbufu au kupindua...
  14. Wakala wa majini

    TUPIA HAPA : Swali, Puzzles n.k Watu Wachangamshe Akili

    Hivi mtu anajengwa au kubomolewa na mazingira aliyomo au akili yake.
  15. Wakala wa majini

    Mjue Ali Solih, aliyekuwa Rais wa visiwa vya Comoro

    "I am your god and teacher.I am the devine way,the torch that lights up the dark.There is no god but Ali solih." Haya ni maneno yake marehemu Ali solih aliyekuwa raisi wa Visiwa vya comoro.Kipindi hicho ndio, mwanzo bara la Africa lilikuwa katika harakati za kutaka kujinasua kutoka katika...
  16. Wakala wa majini

    Wimbo wa Utambulisho Msanii mpya Wa WCB (Zuchu)

    Duh kanipa kumbu kumbu za rehema chalamila katika ubora wake
  17. Wakala wa majini

    Everything in our imaginations, exists!

    Kwahivyo Mungu Mkuu yupo na anaishi.
Back
Top Bottom