1. Kevi (sio jina halisi) alijichanganya kunioa. Me nilijua tuu tangu ananioa kuwa amejichanganya. Kudumu na mimi kwenye ndoa inabidi awe na moyo mgumu. Sababu naweza tembea na ukoo mzima. Ndugu yake yeyote asioneshe interest, nampa.
Hii sentesi amenambie last two weeks. Na ndo imesababisha...
Me nature ya kazi yangu sometimes kama kuna kimeo tunakua job usiku kucha then narud asubuh. Sasa sababu sometimes tunakua job night basi nkawa natumia hiyo km advantage.
Sasa siku moja tuna kimeo fulan, kwa hesabu zangu nkajua nkajua hii kazi kufika saa sita usku itakua imeisha, ila sina...
Nakuunga mkono sista. Kuna muda nanyimwa nnasusa naenda kulala sebulen. Nikijua itamtouch.. nkiamka nkirud chumban mwenzangu kalala anakoroma hana habari
1. Baada ya kupata mtoto Hana interest na sex kabisa. Hii ni tofauti na kipindi cha uchumba.. kama niliomba mzigo mara kumi, basi nimepewa mbili. Siku akiomba yeye sijawah kataa. Na anapoomba yy ni sababu anajistukia kuwa hajanipa siku nyingi. Na nikiomba mara kadhaa sijapewa huwa nasusa siombi...
Kuna dada nafanya nae biashara jiran. Yeye ni mgeni amekuja karibuni. Ni mzuri saana na ni single maza. Sasa mwana mmoja ambae tunafanya nae biashara ya aina moja ola ofisi yake iko mtaa mwingine akatokea kumuelewa huyu demu. So akaanza kufukuzia. Akawa anakuja pale mtaa biashara yetu ilipo mara...
Me nataka kujua. Ulipokua mbeya ulikua unarudi bk likizo??? Jane mlikua mnaonana. Na ulipokua shule ulikua unawasiliana nae?? Na kwa sasa mpo nae vipi?
Ila elimu ya bongo bwana. Wakat jamaa anakuja shule mbeya.. tulikua tunapisha me nachukua tren naenda shule ifakara moro ndani ndani hukoooo...
Ukianza kujali kila comment ya mtu, kila mawazo yanayotolewa, na kila ushauri, hutoboi.. na uta catch feelings. Sababu kila mtu anaandika anavoona yeye.
So as long as ww uliamua kushea story na sisi, basi leta kama ulivopanga. Atakaeona mbaya, hajalazimishwa, atakaeona ndefu mwache asamaraizi,..
ME PIA NATOKEA UBARUKU SO NIMELIMA SANA BONDE LA USANGU. NIMESHANGAA SAANA KUONA EKA 20 KAPATA GUNIA 150. INA MAANA KILA EKA KAPATA GUNIA 7.5 HALAFU ANASEMA AMEPATA FAIDA???? I CANT BUY THE STORY.
Kwan kazini kwenu hakuna saccos??
Mkopo mkubwa nmekopa bank.. hiyo mingine ni saccoss ya kazini... ulizia tanesco saccoss inavofanya kazi.. au cocacola saccoss..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.