Hebu fikiria wanafunzi walivyokuwa wakiteseka kwa usafiri lakini sasa watakuwa wanasafiri kwa uhakika bila bugudha ya wakusoma subiri! hili sio basi la shule, n.k Nadhani kwa usafiri huu ukienea jiji zima kama inavyosemwa hata morali ya wanafunzi kusoma itaongezeka
Binafsi nafikiri lengo la mradi huu si kupunguza foleni bali kuondoa kero ya usafiri kwa wananchi,kupitia mradi huu mtu anaweza kufika Kariakoo/Posta kwa muda mfupi zaidi tofauti na ilivyokuwa mwanzo kwa sababu yanatumia barabara maalumu isiyoingiliwa na vyombo vingine vya usafiri. Kwa mantiki...
H
Hayo unayaona wewe tu? Kama upinzani umebaki bungeni tu kwanini wanawazuia wasisome hotuba yao? Hivi wabunge 250 wa ccm wanaogopaje kujibu hoja za wapinzani zilizoandikwa kwenye kurasa 34 tu? Ujinga umeanza kuwaingia tena wananchi kama wewe na hapo ndipo taifa linapozidi kutumbukia korongoni.
KESI YA UCHAGUZI:
Mbunge Kigoma Kusini Hasna Mwilima (CCM) ashinda kesi ya uchaguzi iliyofunguliwa na David Kafulila (NCCR-Mageuzi) Korti Kuu Kanda ya Tabora.
Kijana mdogo majukumu makubwa ndio madhara yake haya sasa anatukana na anachokoza umma wa watanzania ulioamua kufunika kombe mwanaharamu apite. Ngoja sasa watu wafukue makaburi ataiona tamu ya kauli yake.
Wabunge wanawake Ukawa watoka nje Bungeni wakipinga kauli iliyotolewa na Mbunge Goodluck Mlinga (CCM) kuwa Nafasi za Ubunge wa Viti maalum kwa vyama vya Ukawa hutolewa kwa rushwa ya ngono. Leo wametaka mwongozo wa Naibu Spika amewakatalia na wameamua kutoka nje.
MY TAKE;
Badala ya kutoka nje...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.