Mbona km hii kitu inataka chukuliwa kw maana hasi!kuna uwezkano pia kuwa mdada kasikia masimuliz toka kwa wenzie akaona nae amfanyie mumewe kwa mara ya kwanza na atakuwa akiendeleza hayo.
Kuna ktu naona!ktk ndoa yako kila mmoja anaonesha kutoridhika na matendo ya mwenzie,refer msg ulioona ya mkeo kutoka kwa ***** ni waz nae alikuwa analalamika.
Kaeni muongee kwan hata hlo la kurud kazn ukawa busyy na chartng kwa ndoa ya miez 5 tu gumu sn.
Smile pole sn sn,
mi kwakuwa muhanga kmww nlishawah kufkirha hvyo wakt nikiwa namaumiv ya hal ya juu kutoka kwa hao vjana,
badae nkaona ni vzuri niu2lize moyo ncwe na pupa ya kutafta m2 haraka kwakuwa 2 nina msongo!
naomba nkwambie nawe ufanye hvyo kwan mara nyng 2napotoka ktk uhusiano kwa...
Kongosho sante mkuu nimeiweka ktk ubongo wa kna.ntajtahd kuelewa ila dah saa sta ucku anatoka tn wkend au anarud saa 7 ucku tn wkend+then unaambiwa nlikuwa kkaz zaid,inauma hyo ila 2taelewa 2.
thanks
Mmmh kwa hzo comment hapo juu!!!duh naona kwa kiac gan mwanaume anavyopata upinzan anapoamua kuoa m,ke mwenye mtoto na jnc wanawake wenye watoto wanavyopata shda yakuolewa,
jaman hata nao wanahak yakuolewa na kupendwa na kupenda.mtoto ckibandiko kuwa mda wote atakuwa amemgandaa na mara nyngi...
Penzi la dhati km lipo lipo kwa upande 1,kwa maana kuwa unaweza ww ukawa unampenda m2 kwa dhati lakn yy hakupend hvyo na kinyume chake.
penzi la dhat kwa wote wawili camin uwepo wake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.