Hivi kwa ufahuru wa hist C, kisw C, geo D ,civ D, engl C,bio D,math D division 3 ya 25 je huyu mtu anaweza kwenda kidato cha tano kwa combination ya HGE kwa shule za serikali kwa mwaka wa 2020 kama ni wa kiume.
Naomba kuuliza hivi wanafunzi wa kidato cha tano waliye faulu upangaji wao wa shule utokaga mwezi gani hasa kwa wanafunzi wa mwaka 2019/2020
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiv mwenye iii ya 25 kwa alama civ D,hist C,kisw C,geo D,Engli C,bio D,Math D anaweza kwenda kidato cha tano shule ya serikali
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.