haruni haruni
Member
- Jan 12, 2020
- 15
- 8
Hiv mwenye iii ya 25 kwa alama civ D,hist C,kisw C,geo D,Engli C,bio D,Math D anaweza kwenda kidato cha tano shule ya serikali
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
acha kabisa ndg,yawezekana ulisoma/kufanya mtihani nyuma ya mwaka 2019.Zamani angeweza kuenda kabisa bila mjadala
Sasahivi sidhani labda
1. kwa bahati na muujiza
2. Kuenda kwa kuchaguliwa shule duni kabisa serikalini kujaza nafasi bora liende
Sababu ya msingi nikwamba mitihani imekuwa rahisi kiasi kwamba div I na II zimetamalaki
😂😂😂Jamani hivi second selection mwaka 2020 bado zibatoka kweli