Habari za leo, natumaini nyote mpo vizuri.
Kama kichwa kinavyo someka, lengo kuu la kutaka tukutane hapa ni kuwaambia wadau wanaoitaji kununua iliki kuwa mzigo upo wa kutosha.
Hiliki inapatikana kwa jumla na rejareja, bei ya reja reja ni 25000 kwa kilo na bei ya jumla ni 22500 kwa kilo.
Kwa...
Habari za leo,
Ni matumaini yangu kuwa haujambo na una afya njema. Kama huna tatizo lolote upo physically and mentally fit huna budi kumshukuru Mungu.
Kama nilivo tangulia kusema kwenye kichwa. Lengo la kuandika huu uzi sio kwamba JF members wote hatufaham jinsi ya kutoa bablishi kwenye nguo...
Kama kichwa kinavyo ongea, kutokana na janga la Corona virus pandemic, watu wana shauriwa kunawamikono kwa maji tiririka na sabuni.
Lakini siku hizi wengine wanaona kunawa maji kila wakati ni usumbufu kwahiyo hutumia sanitizer kama mbadala wa kunawa mikono kwa maji tiririka na sabuni.
Njia...
Habari za leo wana jamvi,
Kama kawaida natoa elimu ambayo ina manufaa kwa watu wote walio enda shule na ambao hawa kwenda shule kabisa.
Ninapotoa elimu hii sio kwamba mimi najua sana kuliko wengine ila naamini wapo watu wanajua vitu vingi kunizidi mimi lakini wengi wao ni wabinafsi...
Hello JF
Leo nimeona ni busara tukapeana mawazo kwenye eneo la vyakula sababu ni msingi wa maisha na nina imani kwa wale ambao hawakwenda shule au walienda lakini hawakubahatika kusoma sayansi wana kitu cha kujifunza kupitia sisi.
Kwahiyo bila kupoteza muda,
mlo kamili hutengenezwa na vyakula...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.