Kaka hilo ni papai na. Mbuzi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo unataka kuibiwa kisa inaonekana unahuruma piga chini
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi siamini kama wamefirisika ila sema tu wameamua kuhamisha uwekezaji wao kutoka Tz kwenda kwingine ...maana walikuwa na dhamna za kutosha inawezekana sera sio rafiki kwao
Sent using Jamii Forums mobile app
Hixo ni mdoto za kutoka kuvuta jani cdm imepoteza falsafa na mwelekeo leo iungane na ACT ....Nchi haichukuliwi kirahic hivyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Naunga mkono hoja kweli ,wengi humu watembeza bahasha tu kila ofisi halafu wanajifanya wamefanikiwa wanaleta maisha ya chuo looooooo badirikeni
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaume wengi hawajielewi kabisa mtu anakuja pm badala ya salamu anaanza oyo uko pande za wapi? **
Hiyo hapo number nitafute whatsap utadhani alininunulie yeye simu **
Mara ooh wewe mrembo sana naomba picha sijui nani kamwambia kuwa nagawa picha
Lugha zenu sio nzuri kabisa !! Halafu wengi...
Hizi ni roho za kishetani kabisa ...kwa jina la yesu zishindwe....wanaofanya hivyo huwa nawaona kama wamejikatia tamaa na maisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Inavyoonekana wewe dada ni miongoni mwa mnaotuharibia sifa wanawake wewe pia ni mpigaji humu jf kaka wa watu kajieleza vizuri hivi unaona raha kuoata laki 1 ya mtu ...kwa usawa huu ...matokeo yake mnapigwa mtungo ...tamaa zinawapeleka wapi wengine
Mmeona hayo makopo ndiyo biashara wakati kuna...
Ukiona hivi ujue kwa sasa locol ponography ...industry bongo inakuwa sana kwa kasi kubwa vijana wengi sasa wanapenda .....ngono ...na kufatilia umbeya
Insta video zinauzwa live live, Telegram kuna channel za wadada wanajiuza
Hayo yote yanaashiria kuwa mmomonyoka wa maadili upo juu sana ,na...
Ukizubaa lazima utembezewe za uso ..wanawake wengi wamekuwa after money zaidi...na hata ukiwapa usitegemee kupendwa heli mtu akujie mapema kama huna huna ila aamue mwenyewe ...poleni kaka zangu ..ndio sasa hiv bila kiingilio mambo hayanogi kbs
Sent using Jamii Forums mobile app
Ningekushauri kaka kufatilia mahali palipo na miradi ya maji ....magu mradi umekamilika ,pamoja na lamadi,na misungwi
But usikate tamaa nikipata connection nitakushitua
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.